Exclusive: Ukweli kuhusu Linda Beizudenhout na status yake

Status
Not open for further replies.
ngoja niweke reverse gear, wrong direction huku..:spy:
 
Inakuuma sana! Maisha ya mwenzio yanakunyima raha mpaka unasema tusubirie mwisho wake! Absurd...utangoja sana.

Labda tusubirie ufufuko! Mi nangoja explanation ya TWIN!!!!!!!!!!! Siioi naona mnazunguka mibuyu. Shutuma nzito kujigusa nazo aaaaaaaaaah! ACHENI KUWA BIASED! Anyway wanasema mgeni hata aiwa anani akirimiwe kwa siku za ugeni wake. Minangoja deadline ya ugeni.😛oa

cc Matola! Lwayer jipangeeee, mbona makama itafunguliwa humu. Na screen shot za Kiboko ya Mange zipo! Anyway hili picha halitakiwi kuisha harakaaaaa! Silaha nzito inatakiwa mtu uzitunze kwa mwishoni. Kuna picha pia toka Bongo. Kitawakaje humuuuuuuuuu! LIFE BAN kuhusika na jamvi lilivo na misheria hili.
zels wape neno la Mungu hawa wajaa laana mpaka wakuelee.
 
Last edited by a moderator:
hehehe ngoja awe mahututi nitarudi.

Hapa ni kama kwenye risala ya mgeni rasmiii, mnaanza a mazuri weeeafu yanafta MABAYA! Sasa mazuri yasaiasha nadhani, ndo sisi mapaka shume tumeanza kumpa kamba ajimalize mwenyeweeeeeeeeeeeeeeeee. Yaniiii ajihukumu mwenyeweee. NDO MIDA YA MORPHINE hii! Utakuta biashara ishaishaaa.
 

Mteja wangu simruhusu tena kwenye malumbano hii thread ilikuwa ni exclusive kujuwa ukweli kuhusu Linda na fact zimewekwa mezani na wenye macho wameona fact zote zinajieleza ambaye hajaelewa aanze kusoma upya kuanzia page ya kwanza mpaka page hii ataelewa ukweli wa Linda.

Nimefunga mjadala rasmi member mnaruhusiwa kuendelea kujimwaga kwa porojo za hapa na pale.

Nothing much, nothing less.
 
Last edited by a moderator:
AISEEEE KUNA WATU WANA MAKOLE YA SHARI HUMUUUU
YANI MTU KAUMBIWA SHARIII TUUUI
Daaaah linda awe mkimbizi,awe mzamiaji si yeye na we si uzamie bas!!
hebu tuacheni beef za kijinga jamani
chokochoko za pweza hazitufikishi popote
km humpendi mshauri unaempenda ajiunge nae mumuanzishie uzi wake
 

HAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA! Nilijua tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! Mazitooooo nyie kujibu akuuuuuuuuuuu! Mteja wako namjua mimi ngoja nitie ndimu mbili tatu, atachachuka mboga nzimaaaa, na kuja kulipuka hapaaaaaa! Namuhesabia dakika na kupanga nimbonyeze button gani na gani sasa hivi tutapata mlipukoooo.

Anyway bado ugeni hauja expire ngoja tuendelee kumkirimia mgeni wetuuuuu😛oa. Kama unafunga mjadala mwambie invisible autie KUFULI RASMI. Ukibaki wazi unaendelezwa tuuu.
 

Huo wingi wa nini? Tangu lini tukachukua oda kwako? We jisemee wewe Genny unaacha shari na chokochoko za pweza hazijakufikisha kokote, binadamu hujawaweza.

Ushauri hapa ANGAZA??????????????? Usisahau IT IS A FREE COUNTRY SINCE 1961 NA FREEDOM OF SPEECH!

Na mie huu uzi NIMEALIKWA RASMIIIIIIII! Pale juuu. Nisingekuja au nikiondoka itaonekana namzarau Mume wangu. Mume aniite afu nisije? Weeeeeeeee! Nisinge hitajika nisingeitwaaa. Shaka ondoa leo nipo kiukarimu zaidi, nimekuja na ndimu za kutosha, zingine namgadulia gwadulia mgeni kidogooooo, nyingine nalamba mwenyewe kupunguza kichefuchefu. Relaxxxxxxxxxxxxxxx!
 
Nilikua naandika magazeti na kuchambana nikapitwaaaaaa

Kwakwakwaaaa hivi mtoto ulimpa uji kweli??nakuona ulivyobaki moja shoga angu hata vipodozi havikai??unatuzuga eti diet hahahaaaaa!hivyo viguu sasa??utasema ukienda hatua mbili vyavunjika loh!badilikaaa
 
Ila hamzidi zari hata kidogo guu la zari ni noma afu huyu mfupi sana viatu tu vinambeba

Nilibahatika kumuona Zari pale speke resort miguu yake inatisha.ni mfupi mnooo.hiyo miguu uione kwenye picha ikiwa laivu kama anaumwa matende.nampenda Zari ila kwa ile miguu,hapana.
 
Nilibahatika kumuona Zari pale speke resort miguu yake inatisha.ni mfupi mnooo.hiyo miguu uione kwenye picha ikiwa laivu kama anaumwa matende.nampenda Zari ila kwa ile miguu,hapana.

Hhhhhhhaaaaa ila bora miguu minene kuliko miguu kama mishikio ya ndoo,linda mguu wake ni wa bia haswaaa, Zari mguu wake mnene lakin afadhali kuliko angekua na mishikio ya ndoo CC Evelyn Salt
 
Last edited by a moderator:
Kwakwakwaaaa hivi mtoto ulimpa uji kweli??nakuona ulivyobaki moja shoga angu hata vipodozi havikai??unatuzuga eti diet hahahaaaaa!hivyo viguu sasa??utasema ukienda hatua mbili vyavunjika loh!badilikaaa

HhhhAaaa acha uchokoz tumeyaongea mno mpaka yanakifu,,,tusubiri atakaekosana nae tenaaa
 

nawaongelea wale wenye kuja kishari zaidi
mtu ndo kwanza kajiunga si wasubiri wafungue uzi wa kutema nyongo zao bas
yani chuki zingine hazina kichwa wala miguuu
bas tu zaidi ya yote unaweza onekana una beef nae la mtaani ndo unakuja kulitema hapa
cant they be patient for moment?
yani lara we mbona cha mtoto tuui kuna wwtu humu linda hawampendi ht tone
 
Really haikuwa nyumba kubwa iliozungukwa na mafridge ha ha haa your so damn bitter. I aint got time for this let me just help you feel better tulilala nje hatukuwa na pa kuishi 🙂

ngoja nikwambie kitu wanakuchukia kwa sababu zifuatazo:
mzuri wa sura na umbo
mtaani kwenu mmewatesa sans enzi hizo maana yaonekana ni majirani zako wa zamani
wao walikua wanaonekana km vinyago vile sura mbovu,shepu km vinyago vya mpapure awatake nani
kaka zako wamewagonga sana ukute waliwadanganya watawaoa labda wapate hiyo rangi ya mtume wakajikuta wanaliwa bureeeee biresh(hapo lazima niwachukie tuu)
wao kaka zao ukute ndo masimtank wanapendewa hela ila kusuguliwa vizuri wanatafuta mashine za kina luiz na richard
 
# BRING BACK THE BODY CAMPAIGN! MAGONJWA MENGI SIKU HIZI. MTU AKITAKA ANIJIBU NA PICHA YA BIKINI KWANZA.




 
Linda namjua tokea enzi ya Linda Lamia Linda Express ni mdada mcheshi sana na hata alivyo funga ndoa na mali nilialikwa kwenye harusi yao houston mimi na my wife, tatizo moja la linda ni mkweli sana kwanini nasema hivyo linda angekuwa mkimbizi angesema kwa jinsi navyomjua pia nimeishi nae DC anyways sasa alichosema hapo juu na matola ni 100% kweli basi na mange atuthibitishie ukweli wa maswali ya wengi kama babake alifariki kwanini? je ni kweli mamake alikuwa dada wa kazi? je kwanini alirudishwa toka marekani? je marehemu baba yake alipataje pesa ghafla? au ni kweli alikuwa dereva na akamkaba boss wake akamuua na kumpoteza? je kwanini albert alisema papuchi yake inatema? je ni kweli hapendi kuoga mpaka sasa zingine mwamvita alikuwa anamgombeza? je ni kweli alikuwa anajiuza dubai? je ni kweli marehemu babake mkubwa iddi na dr mwele ndo walimsaidia kupata pesa za urithi wa nyumba ya kinondoni na ukaenda kufungua bongolishazi? je nikweli isingekuwa babako mkubwa na dr mwele usingepata hata sh kumi? sasa awe mkweli kama linda maana majibu tunayajua
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…