EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

Ukawa wote ni uhuru, tajiri yenu kasema. Hayo mengine ni mbwembwe tu !

Na CCM wote ni Raila, nendeni mkamsaidie kwa goli la mkono kama hamjakwatwa ndizi zenu, mnafikiri Kenya ni sawa na Kondoo wa bwana huku Tanzania?
 
Wasiwasi wangu ni kuwa Raila hatokubali kushindwa .
 
Hadi sasa matokeo yanavyo zidi kutolewa na IEBC nchini Kenya ni wazi kwamba rafiki yake mkubwa Magufuli kakataliwa na hii iwe ni muongozo wa matokeo ya uchaguzi wa bongo kwa 2020

In God we trust
 
Safi sana...lkn muda bado tuendelee kusubiri
 
duh! kama vile hujanishawishi bado na hizo data zako
 
haki ya nani akili za chadema ni za kuvukia barabara tu, pilipili msizozila zinawawashia nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…