Tusibiri tu. Hamtapata amani Kenya mzima.Niko hapa westlands na niliona mmefunga vilango juzi mkikimbia kuelekea mshambani
Mmewakataa wapi maccm? Hangaikeni na mambo yenu Magi kawabana sasa mnapumulia Kenya,bavicha MNA mambo nyieTumewakataa maccm
In God we trust
mzee watu walisafiri kwa ajili ya kupiga kura..mbona hapa nilipo biashara zinaendelea kama kawaida?Niko hapa westlands na niliona mmefunga vilango juzi mkikimbia kuelekea mshambani
Kwiiishaaaaaaa ccmMmewakataa wapi maccm? Hangaikeni na mambo yenu Magi kawabana sasa mnapumulia Kenya,bavicha MNA mambo nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
Hukumuona Magu uchaguzi uliopita Kenya akimnadi Odinga Jukwaani.Ukizidiwa unaanza habari za bavicha,haya wasalimie hapo UWT(Umoja wa wanawake Tanzania).Uliwahi kumuona Odinga kapanda kwenye jukwaa LA kampeini za ccm, bavicha bwana mmechanganyikiwa kam lowasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo magu alihudguria tu mkutano wa ndani haku mnadi jukwaaniHukumuona Magu uchaguzi uliopita Kenya akimnadi Odinga Jukwaani.Ukizidiwa unaanza habari za bavicha,haya wasalimie hapo UWT(Umoja wa wanawake Tanzania).
Hakupanda lkn alisafiri toka Kenya hadi chato,kuja kutafuta support ya kushinda uchaguzi hivi kiongozi gani wa ukawa ulisikia alikwenda nyumbani kwa KinyattaUliwahi kumuona Odinga kapanda kwenye jukwaa LA kampeini za ccm, bavicha bwana mmechanganyikiwa kam lowasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana kumbe alihudhuria na akatambulishwa mkutanoni.Acha uongo magu alihudguria tu mkutano wa ndani haku mnadi jukwaani
Sent using Jamii Forums mobile app
LowasaHakupanda lkn alisafiri toka Kenya hadi chato,kuja kutafuta support ya kushinda uchaguzi hivi kiongozi gani wa ukawa ulisikia alikwenda nyumbani kwa Kinyatta
Ni kweli, Wakenya wana akili na wanaangalia utendaji wa mtu, na ndio maana wanaonyesha kuzikataa propaganda za "Hapa Kazi Tu"; Kuna mtu aliwaomba kura huku akitumia "swaga" za Jumanne Pembe Masufuria, lakini kwa kuwa wao wanaamini zaidi katika demokrasia inaelekea kama vile hawataki kabisa swaga zile!Wakenya hawana akili kama za bavicha, hawaangali urafiki was mgombea wanaangalia utendaji wa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Magu kawabana mmepata kwa kupumlia,KenyaNi kweli, Wakenya wana akili na wanaangalia utendaji wa mtu, na ndio maana wanaonyesha kuzikataa propaganda za "Hapa Kazi Tu"; Kuna mtu aliwaomba kura huku akitumia "swaga" za Jumanne Pembe Masufuria, lakini kwa kuwa wao wanaamini zaidi katika demokrasia inaelekea kama vile hawataki kabisa swaga zile!
Sawa tunawagoja sanaTusibiri tu. Hamtapata amani Kenya mzima.
Kwa taarifa yako wabunge wa Kenya ambao wapo ndani ya Rift Valley region ndio waliomfata Lowassa hadi Monduli kuja kutafuta support, kwa Mzee asie na kinyongo,na asie taka makuu.
Wewe hajakubana? Basi utakuwa jini!
Wala hamna haja ya kwenda CHATO hatakiwi kwenda ajikaze kiume huko huko KENYA na walompigia kura!.., Jana nilisema, kitu pekee ambacho RAILA anaweza kushinda ni kushinda njaa lakini sio kushinda uchaguzi mkuu wa Kenya.., hivyo, ninachoweza kumshauri Raila Amolo Odinga (RAO) kwa sasa, aende tu CHATO akapate mapumziko mafupi na anywe maji mengi sana kushusha pressure., UHURU TANO TENA!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kweli kawabana mafiemu hamna pa kusemea mpaka sasa njaa Kali kwenu,sisi tunakula castle bia kufurahia Ushwara kashindwa