Exclusivee... naji Interview mwenyewe

JF sing'oki ng'oooo
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
nimekufatilia tangu unaanza kujihoti,,majibu unayotoa ni kweli yote au mengine utani,,,?
Biashara yako uliyoisema unafanya,,unalima mwenyewe au unanunua toka kwa wakulima?toa uzoefu kdogo wa ku- inspire vijana wenzako kidogo wasiishie kucheka tu.
 
nimekufatilia tangu unaanza kujihoti,,majibu unayotoa ni kweli yote au mengine utani,,,?
Biashara yako uliyoisema unafanya,,unalima mwenyewe au unanunua toka kwa wakulima?toa uzoefu kdogo wa ku- inspire vijana wenzako kidogo wasiishie kucheka tu.
in fact meng ni for fun mengine ni kweli na mahindi nalangua kijijini then nauza mjini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…