[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hapana sijutii hata kidogo kwakua wasomi wengi ndio wajinga... msinielewe vibaya najibu kulingana na elimu yangu
NIMECHEKA SANAMimi nipo Zimbabwe,kiswahili sikijui vizuri lkn kwa ninacho kiona kwako kumbe Deogratias Kisandu ana unafuu mkubwa....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Haya jibu hili: Kwanini unajikubali sana na una umri gani?sijajibu hilo swali mkuu nimeulizwa
Hii intaviuuu inatembea aseee
Hii thread inaenda kuvunja record ya thread hii Uzi Maalum Wa Kupeana Likes: Comment Chochote Upate "like" , ya kuwa Na page nyingiHii intaviuuu inatembea aseee
Mkuu Jeremiah inabidi tuwe serious unaonaje?muda mwingi nafanya kazi usiku nakaba na kubet ndio kazi zangu maalum
Jibu swali: Unajishughulisha na nini?nina miaka 28 ila sijikubali nawakubali wanaonizunguka
Mkuu humu raha sana kuwemo. Mi huzidisha attendance hasa zile TAREHE DUME kwa watumishi!Haki ya Mungu jf sihamii muzee endelea kujitandika maswali..
Ngoja tuone, maana ile sio jeshi la mtu mmoja kama hiiHii thread inaenda kuvunja record ya thread hii Uzi Maalum Wa Kupeana Likes: Comment Chochote Upate "like" , ya kuwa Na page nyingi
Great..una muda gani unafanya shughuli hiyo?mkuu nipo home kipindi hiki nasubiri kwenda chuo ila nanunua mahindi na kuuza
hahahaaMkuu humu raha sana kuwemo. Mi huzidisha attendance hasa zile TAREHE DUME kwa watumishi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapigia wapi nondo?niliacha shule drs la 6... sababu ya viboko mimi napiga nondo
Hawakukuta na kirusi cha mimba?ndio niliwahi kuumwa malaria