Inakuaaaaaaaajeeeeee!
Asee vyuo vingi hapa tz nimefanya tathmini nimegundua tatzo kubwa la collegeous wengi ku supp ni kufelishwa maksudi kwa sababu ya mkwanja mnene unaotolewa na wanachuo ili kusapua. Daaaah inauma sana asee ukiangalia kama vyuo vya private especially kam college mwaka juzi co wamesupp wengi na kusapua ni laki 6 daah ukicheki umesoma miaka 3 ada pesa mingi then umeambulia supp haiingiiakilini kabisaaaa.
wakuu kama kuna sababu nyingine zinazopelekea massive ku supp tupia kwenye hii .thread mpaka kieleweke!
Hv a gud day
Huwezi amin ila ni ukweli ntakuhadithia if u want
Waongo nyie. Hamsomi mnalalamika tu