Executive Agencies Act No 30 inaelekeza Mtendaji Mkuu wa Tanroads kuteuliwa na Waziri wa Ujenzi na sio Rais

Executive Agencies Act No 30 inaelekeza Mtendaji Mkuu wa Tanroads kuteuliwa na Waziri wa Ujenzi na sio Rais

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Kwa mujibu wa sheria ya wakala wa serikali (Excutive Agencies Act No 30) ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009 inamtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads .

Nimeambatanisha hapa chini sasa sijui Mh Rais Samia Suluhu Hassan imekuwaje mpaka kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads.

Hayati Magufuli alimteua Hayati Eng. Mfugale May 24 2011 kipindi hicho hayati Dkt. Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.
Screenshot_20210730-153628_Drive.jpg
 

Attachments

akiteuliwa n a Rais ni kosa kwasababu Waziri yupo juu ya Rais au vipi, mbona hamueleweki. hivi pamoja na yote, mnamjua boss wenu namba moja hapa nchini ni nani? ambaye hata ukiteuliwa na Rais akiamua kukufukuza anakufukuza dakika?
 
akiteuliwa n a Rais ni kosa kwasababu Waziri yupo juu ya Rais au vipi, mbona hamueleweki. hivi pamoja na yote, mnamjua boss wenu namba moja hapa nchini ni nani? ambaye hata ukiteuliwa na Rais akiamua kukufukuza anakufukuza dakika?
We huna Akili, umepewa kichwa kama pambo. Unajua maana ya separation of powers na mamlaka za uteuzi? excutive ina mamlaka na departiment ambazo rais haruhusiwi kuteua watendaji wake.

Rais anamteua IGP na Baada ya kumteua rais anamwachia IGP mamlaka ya kuteua RPC na maOCD na uwezo wa kuwafukuza kazi ama kuwahamisha unabaki wa IGP.

Sasa wewe hapa unatetea nini? Mamlaka ya kumteua mtendaji mkuu wa wakala wa barabara kisheria yapo kwa Waziri sasa huona rais amekiuka sheria?
 
Kwa mujibu wa sheria ya wakala wa serikali (Excutive Agencies Act No 30) ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009 inamtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads...
Mie mwenyewe nimeshangaa sana. Wenzao TPA walifanya amendment DG anateuliwa na president maana zamani ilikuwa anateuliwa na Waziri.

Hii sasa ni ukiukwaji wa Sheria wa wazi kabisa.
 
We huna Akili, umepewa kichwa kama pambo. Unajua maana ya separation of powers na mamlaka za uteuzi? excutive ina mamlaka na departiment ambazo rais haruhusiwi kuteua watendaji wake. Rais anamteua IGP na Baada ya kumteua rais anamwachia IGP mamlaka ya kuteua RPC na maOCD na uwezo wa kuwafukuza kazi ama kuwahamisha unabaki wa IGP. Sasa wewe hapa unatetea nini? Mamlaka ya kumteua mtendaji mkuu wa wakala wa barabara kisheria yapo kwa Waziri sasa huona rais amekiuka sheria?
wewe mbumbumbu, separation of powers ina maanisha "executive, legislature, judiciary" kwa kiswahili kama huelewi ni, Serikali, Bunge na Mahakama.

Waziri yupo legislature au judiciary au yupo executive? utasemaje Mkuu wa executive anapotenda jambo ndani ya mhimili wake na wewe unaleta hoja ya separation of powers? do you even know its meaning?
 
Unalazimisha watu waelewe ujinga, siyo? Watu waelewe ukiukwaji wa taratibu ambazo serikali yenyewe imejiwekea? Watu wa ajabu sana nyie!
akiteuliwa n a Rais ni kosa kwasababu Waziri yupo juu ya Rais au vipi, mbona hamueleweki. hivi pamoja na yote, mnamjua boss wenu namba moja hapa nchini ni nani? ambaye hata ukiteuliwa na Rais akiamua kukufukuza anakufukuza dakika?
 
Nakumbuka wakati Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi alikuwa anafukuza na kuteua CEOs wa TANROAD
Alimsimamisha mchaga mmoja kisha ofisi akampa Mfugale way back 2011 baada ya hapo wote tunajua kuwa ilibidi Mfugale afie madarakani maana umri wa kustaafu ulishafika ila akaendelea kuchapa kazi kweri kweri
 
Alimsimamisha mchaga mmoja kisha ofisi akampa Mfugale way back 2011 baada ya hapo wote tunajua kuwa ilibidi Mfugale afie madarakani maana umri wa kustaafu ulishafika ila akaendelea kuchapa kazi kweri kweri
kwahiyo sasahivi kamteua msiyemtaka sasa mnataka atenguliwe, imekwisha hiyo. jadilini mengine.
 
Back
Top Bottom