Rais kachomekewa mtu walie kuwa wanamhitaji. Nae hana muda wa kuuliza kwa wasaidizi.We huna Akili, umepewa kichwa kama pambo. Unajua maana ya separation of powers na mamlaka za uteuzi? excutive ina mamlaka na departiment ambazo rais haruhusiwi kuteua watendaji wake.
Rais anamteua IGP na Baada ya kumteua rais anamwachia IGP mamlaka ya kuteua RPC na maOCD na uwezo wa kuwafukuza kazi ama kuwahamisha unabaki wa IGP.
Sasa wewe hapa unatetea nini? Mamlaka ya kumteua mtendaji mkuu wa wakala wa barabara kisheria yapo kwa Waziri sasa huona rais amekiuka sheria?
Na ikifikia ya alie juu kufanya kazi ambayo awali alimkasimisha wa chini, wa chini kadharaulika, akiwa na ujasiri anajiuzuru, la aendelee kuchutama.Rais ana power ya kuteua na kutengue yeyote na muda wowote!
Bavicha huwa hamsomi?
Kweli mkuu. Hawa jamaa wajiendea tu ili lipite. Wamechoka na ni dhoofu.Tunavyosema Katiba ni mbovu huwa tunamaanisha wala sio utani
Na wachangiaji wanao unga mkono uteuzi wa rais hawajui hadhi ya mteule wa rais na mteule wa mamlaka zilizo chini yake.Mtoa mada sio Bavicha na hakukuwa na ulazima wowote wa Rais kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads.
Raia wanapigania katiba mpya itakayompunguzia mamlaka rais huku yeye akijiongezea mamlaka ambayo hana kwa hii hii ya katiba ya kifalmeKwa mujibu wa sheria ya wakala wa serikali (Excutive Agencies Act No 30) ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009 inamtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads .
Nimeambatanisha hapa chini sasa sijui Mh Rais Samia Suluhu Hassan imekuwaje mpaka kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads.
Hayati Magufuli alimteua Hayati Eng. Mfugale May 24 2011 kipindi hicho hayati Dkt. Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.View attachment 1874079
Unahalalisha kosa kwa kunukuu makosa. Magufuli alikuwa msigina katiba mbovu.Magufuli alimteua James Kilaba kuwa DG wa TCRA wakati sheria inasema ni waziri ndiye ana power ya kuteua.
"mimi na magufuli ni kitu kimoja"Kwa mujibu wa sheria ya wakala wa serikali (Excutive Agencies Act No 30) ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009 inamtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads .
Nimeambatanisha hapa chini sasa sijui Mh Rais Samia Suluhu Hassan imekuwaje mpaka kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads.
Hayati Magufuli alimteua Hayati Eng. Mfugale May 24 2011 kipindi hicho hayati Dkt. Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.View attachment 1874079
Kwa mujibu wa sheria ya wakala wa serikali (Excutive Agencies Act No 30) ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009 inamtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads .
Nimeambatanisha hapa chini sasa sijui Mh Rais Samia Suluhu Hassan imekuwaje mpaka kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads.
Hayati Magufuli alimteua Hayati Eng. Mfugale May 24 2011 kipindi hicho hayati Dkt. Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.View attachment 1874079
Kauli ya rais ni kama sheria, lakini: 1) linadumu ndani ya siku 90 na muswada upelekwe bungeni kuitungia sheria. 2)itamkwe kwa jambo ambalo halina sheria inayolisimamia. Nje ya hapo ni kuvunja katiba.Kauli ya Rais ni sawa na sheria
Rais akizungumza anazungumza kwa niaba ya wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Akimteua Mkurugenzi au kumtumbua basi amefanya kwa niaba yetu na tunamuamini.
Kwa msingi huo basi; Rais ni mamlaka ya juu ya teuzi na tenguzi.
Rais yuko sahihi ktk uteuzi wa Mkurugenzi wa TANROADS Kwa sababu haiwezekani wa chini awe na power halafu wa juu asiwe na power
Chain of command. Wa juu akishuka chini kuanza kutoa maagizo na uteuzi walioteuliwa hawatawaheshimu wakubwa wao wa karibu na matatizo ya utendaji huweza kutokea.Kauli ya Rais ni sawa na sheria
Rais akizungumza anazungumza kwa niaba ya wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Akimteua Mkurugenzi au kumtumbua basi amefanya kwa niaba yetu na tunamuamini.
Kwa msingi huo basi; Rais ni mamlaka ya juu ya teuzi na tenguzi.
Rais yuko sahihi ktk uteuzi wa Mkurugenzi wa TANROADS Kwa sababu haiwezekani wa chini awe na power halafu wa juu asiwe na power
Urais ni kazi rahisi, ukifuata sheria. Ana wasaidizi kila idara, hata wa kujua leo avae barakoa rangi gani. Kifupi anatafuniwa kila kitu, inabaki kumeza. Shida ipo kama atashindwa kuhisi hata ongezeko la chumvi ili abadirishe mwonja chakula.Samia urais hauwezi.
Hela nyingi za kampeni za CCM hupitia Tanroads.CEO wa Tanroads ni mtu muhimu sana kwa CCM,jueni hivyo
kwahiyo sasahivi kamteua msiyemtaka sasa mnataka atenguliwe, imekwisha hiyo. jadilini mengine.
Rais ana mamlaka ya kumteua hata mtanzania yeyote bila kujali kiwango chake cha elimu au taaluma yake kuwa mkuu wa Shule ya Msingi Sandali iliyoko Temeke.
Je, kuna ajabu Rais kumteua Chief Executive wa TANROAD TANZANIA?.
Huyo Waziri wa Ujenzi amekasimishwa madaraka ya kumteua Mtendaji mkuu wa TANROAD, Temesa, tba and so ili amwakilishe Rais. Rais akijisikia anaweza kufanya yeye mwenyewe.
Endapo sheria ndogo na katiba vikikinzana katiba ndio hugeuka kuwa sheria. Na katiba ndio iliyompa hiyo power.
Imagine afisa usalama wa wilaya anateuliwa na Rais huku RPC ambaye ni mkubwa zaidi anateuliwa na IGP.
Tukielewa maana ya neno KASIMISHA hatutahoji kuwa kwanini Rais anaingilia utendaji wa viongozi aliowateua.
Mkuu unazungumzia power to establish executive agencies? Au mamlaka ya uteuzi na kuunda ofisi kama ibara 36(1) ya katiba ya JMT.Kwa mujibu wa sheria ya wakala wa serikali (Excutive Agencies Act No 30) ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009 inamtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads .
Nimeambatanisha hapa chini sasa sijui Mh Rais Samia Suluhu Hassan imekuwaje mpaka kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads.
Hayati Magufuli alimteua Hayati Eng. Mfugale May 24 2011 kipindi hicho hayati Dkt. Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.View attachment 1874079
wewe huna akili ya kuniuliza mimi kwasababu ulitoroka shule ya msingi.Mkuu elimu yako inafika hata ya kidato cha nne??samahani sana kwa kuuliza hilo!!tuanzie hapo kwanza!!
Kwani kuna hoja mtu unachangia, hadi unaanza kuwapa watu mashaka juu ya elimu yako!!!wewe huna akili ya kuniuliza mimi kwasababu ulitoroka shule ya msingi.