Swali la kizushi. Miaka 5 iliyopita kulikuwa na leak kuwa Mwambita Makamba analipwa $20,000 kwa mwezi alipokuwa anafanya kazi Vodacom TZ
Sasa najiuliza hivi hawa ma top CEO wa mabenki kama Barclays, Stanchat, Vodacom etc wanalipwa kiasi gani kwa mwezi ontop of marupu rupu mengineyo?
Hapa nazungumia hasa hawa FOREIGNERS lakini sio mbaya tukajua hawa local CEO nao wanalipwa kiasi gani at minimum?
Sasa najiuliza hivi hawa ma top CEO wa mabenki kama Barclays, Stanchat, Vodacom etc wanalipwa kiasi gani kwa mwezi ontop of marupu rupu mengineyo?
Hapa nazungumia hasa hawa FOREIGNERS lakini sio mbaya tukajua hawa local CEO nao wanalipwa kiasi gani at minimum?