Shukrani nawala nimepeleka kwa fundi kaweka hivyo vibati gari kama nimenunua leo iko sawa sisikii muungurumo tena lkn najipanga sasa nitafute ingine nzima kabisaChukua bati laini toboa tundu ndogo sana kisha weka kweny kibuyu wapipotoa unga
Ukipata ya gari yoyote inayolingana ukubwa gari kama spacio, Ist na jamii hizo....unakata tu unaiunga kwa gas .Ni wamefungua wakaichomoaView attachment 1762398
Amewwka kibati cha namna gani..Shukrani nawala nimepeleka kwa fundi kaweka hivyo vibati gari kama nimenunua leo iko sawa sisikii muungurumo tena lkn najipanga sasa nitafute ingine nzima kabisa
Hio gari unakata tu mwenyewe akiwa wapi?Ukipata ya gari yoyote inayolingana ukubwa gari kama spacio, Ist na jamii hizo....unakata tu unaiunga kwa gas .
Mbona concept yangu ni rahisi sana..Hio gari unakata tu mwenyewe akiwa wapi?