Jana jumanne na Leo Jumatano wateja wa EXIM bank wanaotaka kuchukua Fedha zao ndani ya Bank wamekuwa wakizuriwa na wahudumu wa Bank katika matawi wawili ya katikati ya jiji la Dar es salaam kwa kizingizio cha matatizo ya Systema wakati huohuo wakiendelea KUPOKEA fedha za Wateja wanaotaka kuweka..
Jana nimeshuhudia wateja katika Tawi la Clocktower wakilandalanda bila matumaini baada ya kugomewa kuchukua PESA kwa kisingizo cha Systema,mteja Mmoja aliulizwa ni kwanini anataka kuchukua Pesa yote kwenye Akaunti yake na akaambiwa aje baadaye mchana.Mimi natoa wito wa mambo yafuatayo:-
1. Bank ya EXIM wauambie UMMA wa Tanzania kama Wamefilisika ili wananchi wasijepoteza Fedha zao ama lasivyo tutawashitaki kwa kushikiria Fedha zetu bila sababu ya msingi,matatizo ya System ni YENU wenyewe na si makosa ya Mteja.
2.BOT kupitia Kitengo cha Banking Supervisory kilichoko BOT fanyeni uchunguzi wa uzani wa Kifedha wa Bank hii ili kuokoa Fedha za Watanzania Masikini walioweka Visenti vyao EXIM Bank.
3.Nawaonya Bank ya EXIM Kwamba Hatua Kali za Kisheria zitachukuliwa na mimi mwenyewe nimeanza kuandaa Kesi ya madai ya TSH.50m Kwa ajili ya HASARA niliyopata kutokana na kuzungushwa kupewa Pesa Zangu.
Nawasilisha
Jana nimeshuhudia wateja katika Tawi la Clocktower wakilandalanda bila matumaini baada ya kugomewa kuchukua PESA kwa kisingizo cha Systema,mteja Mmoja aliulizwa ni kwanini anataka kuchukua Pesa yote kwenye Akaunti yake na akaambiwa aje baadaye mchana.Mimi natoa wito wa mambo yafuatayo:-
1. Bank ya EXIM wauambie UMMA wa Tanzania kama Wamefilisika ili wananchi wasijepoteza Fedha zao ama lasivyo tutawashitaki kwa kushikiria Fedha zetu bila sababu ya msingi,matatizo ya System ni YENU wenyewe na si makosa ya Mteja.
2.BOT kupitia Kitengo cha Banking Supervisory kilichoko BOT fanyeni uchunguzi wa uzani wa Kifedha wa Bank hii ili kuokoa Fedha za Watanzania Masikini walioweka Visenti vyao EXIM Bank.
3.Nawaonya Bank ya EXIM Kwamba Hatua Kali za Kisheria zitachukuliwa na mimi mwenyewe nimeanza kuandaa Kesi ya madai ya TSH.50m Kwa ajili ya HASARA niliyopata kutokana na kuzungushwa kupewa Pesa Zangu.
Nawasilisha