hivi unakumbuka for the 1st time unakamata usukani ilikuwaje?mimi ni ya kuingia barabarani after kukata corner nasahau kuswith off indicator naenda nayooo hadi niikumbuke loh mwanzo mgumu
Hahaaa mi nikitaka kuingiza gia naacha kuangalia mbele naangalia kwanza krachi kama ndo kweli nimekanyaga yenyewe halaf naangalia gia nikimaliza kuja kushtuka kama mbele kuna tuta basi nisharushwa juu
Hahaaa mi nikitaka kuingiza gia naacha kuangalia mbele naangalia kwanza krachi kama ndo kweli nimekanyaga yenyewe halaf naangalia gia nikimaliza kuja kushtuka kama mbele kuna tuta basi nisharushwa juu
Shughuri nilikuwa nayo, mlimani halafu nimesimama kwa sababu ya foleni... Yaani hapo lazima nirudi nyuma mita kadhaa... sasa kama nyuma kuna gari, lake huyo mwenye gari
mwalimu aliyenifundisha alikuwa mkorofi kwahiyo nilikuwa nikifika njia panda au kwenye kona napata mtihani wa kusimama maana najua nikashasimama wakati nataka kuondoka gari itazimika mara kwa mara kwa jinsi ninavyoiachia clutch so mwalimu wangu alikuwa anakasirika sana.