Kwa nini mkuu?
Wachache sana watakao kuelewa hapa....mimi na miaka 10 katika ndoa....uzoefu unaonyesha mfumo dume ndiyo sahihi ktk maisha ya ndoa....ndoa haitaji ushauri mwingi, ila haipendezi uwazi uwe mwingi kwa mwanamke hasa mambo yanayohusu mali na kipato....maneno yangu siyo msaafu wala biblia ivyo akili kumkichwa.Utaratibu wako ni mzuri kulingana na aina ya mke ambaye unaye na iwapo unamjua vizuri, hope unanielewa vizuri nikisema UNAMJUA VIZURIIII....kuna aina ya wanawake mwanzoni mtaishi kwa amani kabisa tena utaifurahia ndoa ila once amekutana na mashoga wa saluni, sokoni, vibarazani na social media magroup ya whatsapp wakamjaza ujinga basi imekula kwako.
Jana wakati nipo kwenye basi narudi home kuna mzee mmoja wa makamo alikua anaongea kwa uchungu kuwa ameishi na mkewe miaka 28 na alikua na mfumo kama wako, mke akaubajetia vizuri mshahara wake wakafanikiwa kujenga nyumba mbili moja wakaipangisha na gari ya familia ya kutembea tu, wana watoto wanne na wa kwanza ni wa kiume ana miaka 26. Sasa mwaka jana akaanza kupata habari kuwa mke wake anaburuzwa na jamaa mmoja ambaye alimuhonga laki sita jamaa kufatilia akapata ushahidi wote ikamuuma sana maana anadai uwezo wa kumpa hiyo hela mke wake anao ila sijui tamaa au nini, na kumbe mtoto wa tatu waliozaa wote sio wake ni wa mwanaume mwingine. Hapo mbaba wa watu kapelekwa mahakamani mwanamke anataka talaka na wagawane mali pasu pasu, jamaa anasema anampenda sana mke wake angepata mtu wa kumuweka chini mke wake na kumkumbusha walipotokea kwenye chumba kimoja cha kupanga hadi kumiliki mali za sasa basi akili ya mkewe ikirudi yupo tayari kumsamehe na kusahau yote... Sikukatishi tamaa ndugu ila awali itakuwa na manufaa ila guarantee ya siku za usoni inaweza kuwa ndogo
Binafsi nimekuelewa sana.H
Wachache sana watakao kuelewa hapa....mimi na miaka 10 katika ndoa....uzoefu unaonyesha mfumo dume ndiyo sahihi ktk maisha ya ndoa....ndoa haitaji ushauri mwingi, ila haipendezi uwazi uwe mwingi kwa mwanamke hasa mambo yanayohusu mali na kipato....maneno yangu siyo msaafu wala biblia ivyo akili kumkichwa.
Kwamba sasa hivi mke hajui kuwa kina wanaume wana kipato kumzidi mumewe?Siku mkeo akibaini kuna njemba inatumia bajeti kama yenu kwa drinks per day.....atakuona you are less than a man....ni maoni tu.....
Kwahiyo ndugu au rafiki akija kuomba msaada wa kifedha kwako lazima taarifa ifike kwa mkeo??Mi na wewe tunatofauti kidogo mi huwa nampa mshahara wote wife na sijawahi juta kila kitu kinaenda sawa na hatuna deni lilote kwa mangi japo kimshahara ni kiduchu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfumo dume ndio uliokulea ukakua mpaka nawewe umeoa na una familia. Huoni kama babaako alifanya jambo la kishujaa mkuu! Thats the major key bro!H
Wachache sana watakao kuelewa hapa....mimi na miaka 10 katika ndoa....uzoefu unaonyesha mfumo dume ndiyo sahihi ktk maisha ya ndoa....ndoa haitaji ushauri mwingi, ila haipendezi uwazi uwe mwingi kwa mwanamke hasa mambo yanayohusu mali na kipato....maneno yangu siyo msaafu wala biblia ivyo akili kumkichwa.
πππππ mumeo anakupenda sana ila he never knows women better! Siwezi kumlaumu,the one you love the most might turn to be your worst enemy!Ilimsaidiaaga sana mume wangu mpaka Leo mwaka wa 5 alipo weka wazi kipato chake kwangu mkewe na kuacha kadi yeye ni wife pesa imeingia naenda bank twaja timiza malengo yetu na pesa ya chakula kubaki pocket many yake 50000 maisha yanaenda tena kwa aman kikiisha unajua akipo
Before huu utaratibu nilikuwa naitaji pesa kuliko ata kipato chake cos sikujua .
Kama unafamilia mfumo huu ni mzuri sana na unaleta aman ndan
Sent from my TECNO K7 using Tapatalk