Mi na wewe tunatofauti kidogo mi huwa nampa mshahara wote wife na sijawahi juta kila kitu kinaenda sawa na hatuna deni lilote kwa mangi japo kimshahara ni kiduchu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kukiwa hakuna crisis ndugu yangu utajiona happy na utajiona umevumbua jambo Jema.Mind you utakapoyumba au ukawa ns crisis na mkeo utajuta na pengine itakuwa too late.Mind you mwanamke si ndugu yako.Sorry kama nimekukwaza.Ni ngumu na inataka commitment. Experience ya maisha yangu kila nipatapo kamshahara huwa nawaeleza familia yangu kisha tunakaa tunaupangia matumizi au bajeti kwa vipaumbele vyetu ndani ya familia. Maisha yanaendelea smoothly and peacefully.
Nimesema ni experience ya ajabu haswa kwa uafirika wetu kuruhusu watoto na Mke wajue all that you earn na halafu mpange matumizi kwa pamoja, ni ngumu kwa hulka, but naamini natengeneza amani, upendo na furaha ndani ya familia.
Nadhani ni watu wachache na adimu mno wa calbre hii yangu!!
Anajua wapo but wasimkaribie......in a dangerou mission....Kwamba sasa hivi mke hajui kuwa kina wanaume wana kipato kumzidi mumewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi mkuu, na mm miaka kadhaa iliyopita nilijifanya mume bora na mume mwema, hadi nikatoa kadi ya benk na password kwa wife, kilichotokea mmmh. Kwa ufupi kwa sasa kila mtu ana maisha yake na nyumba iliuzwa kisheria kila mmoja akachukua kamuhogo kakeH
Wachache sana watakao kuelewa hapa....mimi na miaka 10 katika ndoa....uzoefu unaonyesha mfumo dume ndiyo sahihi ktk maisha ya ndoa....ndoa haitaji ushauri mwingi, ila haipendezi uwazi uwe mwingi kwa mwanamke hasa mambo yanayohusu mali na kipato....maneno yangu siyo msaafu wala biblia ivyo akili kumkichwa.
Unachotakiwa kufanya ni kumpa mshahara tu ila hela ya deal fanya mambo yako pia jitahidi asijue kama unapata extra moneyMshahara sawa je na posho pia wanajua umepata ngapi na huwa unaweka mezani pia kupangiwa hesabu..
system yako nzuri nataka niadopt it ila nawaza helabya kuonga na ya kuchil na washkaji siku za weekend nitaipata wapi!
Mkuu endelea hivyo hivyo,na usitegemee deni sehem yoyote kwani mke yuko makini sana kwa mambo ya msingi,mke anaona mbeleeee sanaMi na wewe tunatofauti kidogo mi huwa nampa mshahara wote wife na sijawahi juta kila kitu kinaenda sawa na hatuna deni lilote kwa mangi japo kimshahara ni kiduchu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kunamipango gani?ambayo hutakiwi kumshirikisha mkeo?
Mtumishi wa bwana hapo si utakuwa unamdanganya tu mkeo..Unachotakiwa kufanya ni kumpa mshahara tu ila hela ya deal fanya mambo yako pia jitahidi asijue kama unapata extra money
HahahahaMtumishi wa bwana hapo si utakuwa unamdanganya tu mkeo..