MtotoKautaka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 373
- 895
Nawasalimu ninyi nyote, Mungu mkubwa nipo salama.
Nipo hapa leo kuwapa experience yangu niloipata kutoka kwenye kulelewa na mama wa kambo (step mother)
1. Ukiwa na akili darasani KUSHINDA watoto wake imekula kwako utateswa mpka ujute kuzaliwa.
2. Watoto wake wakiwa vikojozi hafu wewe hukojoi kitandani basi ndugu yangu wewe akhela yako utaanza kuniona hapahapa duniani
3. Ukiwa na nyota ya kupendwa na watu hasa wageni wanaokuja home kuwasalimia yani wakawa wanakupenda sana wewe over watoto wake mzee baba/bibi utakiona cha mtema kuni.
4. Ukiwa una adabu (siyo kiburi/mgumu) kazi unayo utageuzwa mtumwa
5. Ukiwa mtundu mtundu mwepesi kujua vitu kuzidi watoto wake ndugu yangu umeisha
6. Ukiwa una kipaji flani hafu watoto wake hawana let's say kucheza mziki au mpira hafu watotoze wakawa wapowapo tu basi utasema.
Vituko nilivyowahi kufanyiwa na sitovisahau
1. Nilitoka skul nina njaa kinoma hafu ilitakiwa nile fasta nirudi remedial, nilipofika home nikaambiwa hakuna msos nipike mwenyewe hafu watoto wake washakula na wapo skul. Skul hapakuwa mbali na home kwahyo watoto wake walikuwa wanatoroka lisaa kabla ya kutoka wanaenda wanakula then wanarud shule.
2. Siku moja nilikuwa naumwa, kanipa vidonge bila ya kula then kaondoka zake harusini home nilibak pekeangu wasingekuwa majirani ningekufa
3. Mama mzaz alinishonea shat la kitenge watoto wake wakalichukua wakalipaka mchuzi wa samak wakaenda kulipachika kwenye shimo la panya likaharibiwa na panya Kwa kutafunwa
4. Nilipewa zawadi kwa kuwa mwanafunz wa pili kwenye mitihani zile zawad zilipofika home kesho yake sokuziona tena na sikujua zilienda wapi
5. Mtoto wake mkubwa alinipiga na ubao akanichana lip ya juu, nikaona uvumilivu umenishinda nikachukuwa wembe nikamchana kwenye shavu nilipigwa nusu kuuwawa.
Ni mengi mengine ni ya ajabu nisingeweza kuyaweka bayana........
Uzi umeisha.
Nipo hapa leo kuwapa experience yangu niloipata kutoka kwenye kulelewa na mama wa kambo (step mother)
1. Ukiwa na akili darasani KUSHINDA watoto wake imekula kwako utateswa mpka ujute kuzaliwa.
2. Watoto wake wakiwa vikojozi hafu wewe hukojoi kitandani basi ndugu yangu wewe akhela yako utaanza kuniona hapahapa duniani
3. Ukiwa na nyota ya kupendwa na watu hasa wageni wanaokuja home kuwasalimia yani wakawa wanakupenda sana wewe over watoto wake mzee baba/bibi utakiona cha mtema kuni.
4. Ukiwa una adabu (siyo kiburi/mgumu) kazi unayo utageuzwa mtumwa
5. Ukiwa mtundu mtundu mwepesi kujua vitu kuzidi watoto wake ndugu yangu umeisha
6. Ukiwa una kipaji flani hafu watoto wake hawana let's say kucheza mziki au mpira hafu watotoze wakawa wapowapo tu basi utasema.
Vituko nilivyowahi kufanyiwa na sitovisahau
1. Nilitoka skul nina njaa kinoma hafu ilitakiwa nile fasta nirudi remedial, nilipofika home nikaambiwa hakuna msos nipike mwenyewe hafu watoto wake washakula na wapo skul. Skul hapakuwa mbali na home kwahyo watoto wake walikuwa wanatoroka lisaa kabla ya kutoka wanaenda wanakula then wanarud shule.
2. Siku moja nilikuwa naumwa, kanipa vidonge bila ya kula then kaondoka zake harusini home nilibak pekeangu wasingekuwa majirani ningekufa
3. Mama mzaz alinishonea shat la kitenge watoto wake wakalichukua wakalipaka mchuzi wa samak wakaenda kulipachika kwenye shimo la panya likaharibiwa na panya Kwa kutafunwa
4. Nilipewa zawadi kwa kuwa mwanafunz wa pili kwenye mitihani zile zawad zilipofika home kesho yake sokuziona tena na sikujua zilienda wapi
5. Mtoto wake mkubwa alinipiga na ubao akanichana lip ya juu, nikaona uvumilivu umenishinda nikachukuwa wembe nikamchana kwenye shavu nilipigwa nusu kuuwawa.
Ni mengi mengine ni ya ajabu nisingeweza kuyaweka bayana........
Uzi umeisha.