ExpertBroker
JF-Expert Member
- Jun 1, 2009
- 454
- 107
Hodi hodi wanaJF, japo ndigu yangu Kitomari kashambuliwa sana kwa kujitangaza ndani ya JF, Lakini nafikiri these should be considered as classified adverts ambazo maranyingi hazilipiwi. Nikiamua kutangaza kwa logo na mbwembwe kama walivyo safari venture then am obliged to be charged.
Najua kuna wanaJF wengi wanapenda huduma ya real estate kama nyumba/viwanja/ofisi ama kununua kupanga, joint venture na ushauri lakini wamekuwa wanashindwa pa kwenda especially due to the fact that therte a lot of Unscrupulous people in the name of MADALALI ! Wengi wamekuwa wakiuvaa mkenge bila kufanya upembuzi/mchakato yakinifu (Sorry natafuta kiswahili cha feasibility ama appraisal study), na matokeo yake wanaishia kupata hasara. Mimi ni zaidi ya Dalali, I am a land Economist with experience in real estate development, management and sales!
Nipigie nikushauri bure kwenye simu ukihitaji report hapo tutagawana umasikini! Real estate market is notorious imperfect, ukiingia kichwa kichwa unawezajikuta unajenga guest karibu na Kanisa!!!
Please Call me today, tomorrow and always! - 0754 85 82 45 0r 0715 85 82 45
Natanguliza samahani kwa watakaoboreka na hii thread!
Najua kuna wanaJF wengi wanapenda huduma ya real estate kama nyumba/viwanja/ofisi ama kununua kupanga, joint venture na ushauri lakini wamekuwa wanashindwa pa kwenda especially due to the fact that therte a lot of Unscrupulous people in the name of MADALALI ! Wengi wamekuwa wakiuvaa mkenge bila kufanya upembuzi/mchakato yakinifu (Sorry natafuta kiswahili cha feasibility ama appraisal study), na matokeo yake wanaishia kupata hasara. Mimi ni zaidi ya Dalali, I am a land Economist with experience in real estate development, management and sales!
Nipigie nikushauri bure kwenye simu ukihitaji report hapo tutagawana umasikini! Real estate market is notorious imperfect, ukiingia kichwa kichwa unawezajikuta unajenga guest karibu na Kanisa!!!
Please Call me today, tomorrow and always! - 0754 85 82 45 0r 0715 85 82 45
Natanguliza samahani kwa watakaoboreka na hii thread!
Last edited: