Expiry date ya wanawake!!!

Mwendawazimu2

Member
Joined
Nov 29, 2010
Posts
54
Reaction score
5
On average;
Muda wa kupendeza na kuenjoy maisha 20-28 yrs
Above 28 year, choka mbaya..
 
Kwa uzoefu gani wa maisha unakuwa nao at 28 hadi uone sasa umefika? at that age unakuwa umepitia mangapi hadi uone imetoshea? at 28 unakuwa kweli umekwisha jua raha ya kuzaa,ukalea ,mtoto akakuita mama/baba akakua,ukafurahia graduation yake,ukafurahia harusi yake,akakuletea kajuukuu ukakakumbatia ukakaangalia sura machozi yakakulenga maana kanakukumbusha mwanao siku ya kwanza mlipotoka maternity,at 28 ushapitia yote haya? At 28 how many joys and sorrows unakuwa umepitia maishani mwako? Au kwenda runway,maisha club,bilicanas na mbalamwezi ndo ku enjoy maisha? Think about it,to be choka mbaya au not choka mbaya is just an attitude of mind na wala sio umri,you can be very choka mbaya at 25 and be at the maximum enjoyment at 80,it is all about attitude!
 
Mh! co kweli mamangu ana miaka hamsin lakini yupo bomba ile mbaya! Na hata ndugu zangu wngn wameshavuka hyo age ila bado wapo bombaa..Ni mtazamo wng
 
20 - 28??? Umemaliza hata kusoma jamani? Hao choka mbaya uliowaona watakuwa wamechoshwa na mambo mengne ila sio umri..
 
20 - 28??? Umemaliza hata kusoma jamani? Hao choka mbaya uliowaona watakuwa wamechoshwa na mambo mengne ila sio umri..

Kusoma ni sehemu ya maisha. Ninachomaanisha ni kuwa ukiangalia mwanaume na mwanamke wa umri sawa, at 28 mwanaume ndo anaanza kuenjoy maisha wakati mwanamke ndo anaanza kupigwa na majukumu ya kaisha...
 
Naona urudie tena research

sio suala la research dada. nimetumia nano average... inaweza isiwe wewe, lakini habu fikiria kinadada wengi ulosoma nao, walikuwa walipokuwa 20-28, na kama watakuwa wamevuka, kwa sasa wakoje?
 
Mimi kwanza nisipopata mwanamke mwenye umri kuanzia miaka 32 naona kama nadhurumika kimapenzi mimi nataka mambo ya kuingiza na kusema naumia!!
 
20 - 28??? Umemaliza hata kusoma jamani? Hao choka mbaya uliowaona watakuwa wamechoshwa na mambo mengne ila sio umri..

sema wewe bwana mi sisemi kuna visu kibao hadi kufikia age ya 45
 
28 choka mbaya? Labda u specify ni katika area gan? Kwa taarifa yako mwanamke huwa anachoka psychological btn 25 mpaka 30 na kuanzia 31 anaanza kushine upyaaa rudi tena kafanye research
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…