Mimi ni mdau katika secta ya madini na nahitaji kupata soft copy ya sheria za matumizi ya baruti kwa ujumla wake kwani nimejaribu kucheki kwenye website ya wizara husika sijaipata so, naomba msaada wenu wana JF.
Mimi ni mdau katika secta ya madini na nahitaji kupata soft copy ya sheria za matumizi ya baruti kwa ujumla wake kwani nimejaribu kucheki kwenye website ya wizara husika sijaipata so, naomba msaada wenu wana JF.