Export Value increase by 5.2%

Dua

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2006
Posts
3,236
Reaction score
669

The value of goods and services rose by 5.2 percent to over $9 205.2 million by Sept this year according to the BOT monthly bulletin. Gold accounted for 48.6% …. ……. more below follow the link.

Hapa Kazi Tu. Hakuna kulala hadi kieleweke.

 
Uzalishaji wa dhahabu tumeshafika tani mia moja kumbe
 
What about inflation? Pikeni data uchumi utajipambanua wenyewe.UCHUMI HAUNA SIASA.
 
Asante Muheshimiwa Rais wetu kipenzi John Pombe Joseph Magufuli
 
Hiyo 5.2 % imeongezeka kutoka kwenye asilimia ngapi- na nikutoka kipindi kipi?.
By the way issue kubwa kwa Tanzania ni matumizi ya tunachokipata kama taifa,hata kingekuwa imeongezeka kwa asilimia 90 kama kinachopatikana kinaishia chato na kwwnye ambitious projects za magufuli ni sawa na bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…