Asante sana my boss charming glady,nami kwa niaba ya akananas Paloma na Passion Lady tuna sambaza upendo kwako bila kuwa sahau Mtambuzi, Rich Woman Munkari Angelicious Madame B @figganiga DEMBA, atug., lara 1, watu8 Mentor.
Daaa Walimu wangu wamenitoa mbali pamoja na kuwa na kichwa kigumu lakini nikifundishwa na hawa naelewa sana ...... Mwl gfsonwin snowhite Evelyn Salt.
Daaa upendo huu usambae hadi kwa Nicas Mtei, arusha one, Mungi, Crashwise.
List hii itaendelea.........
Uwiiiii.... Hivi.mama kijacho wako Heaven on Earth hajajifungua tu?? afu mida hii umemtoroka atakuwa kalala!!!
Kwa mababu sitaki nimebadili mawazo...tutabanana tu
Bado hajajifungua. Anakusalimia. S unakumbuka ule esemi usemao kuwa visima vya kale havifukiwi? Nina u apply
Naaam Sheikh Nicas Mtei....
A man like him is too much for 1 woman! Dont bite more than you can chew! Just kubali kitwngo chako, if not from your heart CONSIDER IT SERVING YOUR COUNTRY, BEING A PATRIOT AT HEART!Yaani unafagilia kote kote basi m najitoa...nilijua utasimama badala yangu...:mad2::mad2:
Shindwaaaaa..... legea kwa jinalo!!
Uwiiiii.... Hivi.mama kijacho wako Heaven on Earth hajajifungua tu?? afu mida hii umemtoroka atakuwa kalala!!!
Naona mwaweka kikao, natumai mna gahawa na gashata za kutosha yakheeeeee!Naaam Sheikh Nicas Mtei....
U hali gani maalim? Karibu Unguja.
\Hapa mataa nitafika sa9 nahisi kwa foleni hii
Naona mwaweka kikao, natumai mna gahawa na gashata za kutosha yakheeeeee!
Bazaz snr niaje?
Shukran ustaadh..niko huku bara bungeni ngona bajeti ipite kwanza