Njia kuu yako ni mchepuko wa mwenzio. stuka!!!
niko na charty bed gdnyt
Kweli hapa mjini ukizubaa unapolwa mchana kweupe.
Ok tutaendelea kujivinjari pamoja wakati namtafuta Rich Woman nimpe sera zangu.
Hahaaaaa! Mi nipo WENGI WAMEACHIA NGAZI NA WENGINE WAMEPANDA MI NASIMAMA PALEPALE! Come January come december, HOE alitakaga hadi kumzalia huyu mswati, sijui iliishia wapi, JIWE KUU NIMETULIA NASUBIRIA KUNSAVE MY COUNTRY!
Umepotelea wapi jana na leo?
miss neddy mlikuwa mnanijadili amawapiiiiii Heaven on Earth hicho kibendi nicas hajasingiziwa kweliiii??????
hadi hamisiiii!!!! awwwwhh.
Uwiiiii.... Hivi.mama kijacho wako Heaven on Earth hajajifungua tu?? afu mida hii umemtoroka atakuwa kalala!!!
İsipokuwa mimi. Nitoe kwenye list yako kabisaaaa. Usiponitoa najitoa JF.
Haaah haaah! Ngoja nimtafute mwekundu anipe form nijiunge na #TeamBazaz
Binafsi nawapenda wote Mungu awabariki wote.
Thnx ma dia.. Love u too DEMBA, and also ma love goes to Heaven on Earth, Mwalu, angel, Ruta, and the friends we met during TPF last unyesho. Love mingi mingi