Fanya vyote ila isizidi 2.3m juu ya hapo jua umepigwa.....Habari ndugu zangu!
Nmeagiza gari ambayo natarajia kufika hivi karibuni
Hii ni mara yangu ya kwanza kuagiza mwenyewe bila Agent,kuanzia kuchagua mpaka malipo na hata documents zimeshatumwa kwangu kwa DHL
Gari ni Toyota Crown Athlete GRS 182
Nmeagiza kampuni ya SBT
CIF $3150
sasa kilichonileta hapa SIO KODI YA TRA bali ni kutaka kujua hizo extra-port charges tu specific kwa gari hii maana natumaini ni gari common na watu wengi wameshaagiza toka japan
-handling fee
-Corridor Levy
-Wharfage
-shipping line
-port charges
Na nyingine amabayo sija mention hapo
Natanguliza Shukrani zangu[emoji1488]
View attachment 2644346
Mkuu ikipungua sana itakua 1.8 ila isizidi 2.3Haiwezi kufika huko 2.3 mkuu[emoji28]
Nilisikia kuna DI(DESTINATION INSPECTION)Inpection fee by EAA
Nlishalipia $200 toka ikiwa japan
kwani kuna inspection nyingne tena ikifika?
Hapa kati walibadilisha sana taratibu yaani hawaelewekiKipindi naagiza gari 2020 sidhani kama hii destination inspection ilikuwepo ..
Kodi zimekuwa nyingi Sana aisee
Tbs inspection ! Hiii ni tofauti kabisa na ukaguzi ule uliolipia njeShipping line nmeweka
Hiyo TBS 1 sijaelewa ni nini
2020 walikuwa wanatumia certificate za ukaguzi uliofanywa nje , baadaye wakabadilisha ukaguzi ukawa unafanywa hapa nchini na NIT kwa niaba ya Tbs, siku hizi ukaguzi unafanywa na wao wenyewe Tbs pale ubungo.Kipindi naagiza gari 2020 sidhani kama hii destination inspection ilikuwepo ..
Kodi zimekuwa nyingi Sana aisee
Hapana Tbs siku hizi ukaguzi wanafanya wenyewe !!hata uende na certificate ya nchi gani ukaguzi wanarudia wao wenyeweMaana kama ni TBS sikuiz wanafanya
Inspection toka Japan kupitia EAA inspection
Huku kwetu mambo yanabadilika badilika , zamani tbs walitoa ruksa magari kukaguliwa nje ya nchi kwa niaba yao , siku hizi wanakagua wenyewe yakifika Tanzania .Mbona inspection sheet waliontumia ni ya TBS?