Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Asante mkuu Kwa kunipa elimu2020 walikuwa wanatumia certificate za ukaguzi uliofanywa nje , baadaye wakabadilisha ukaguzi ukawa unafanywa hapa nchini na NIT kwa niaba ya Tbs, siku hizi ukaguzi unafanywa na wao wenyewe Tbs pale ubungo.
Kwa pamoja tunajenga taifa letuNdo maana kodi zinakuwa kubwa kuliko ata bei ya gari[emoji1787]
Railway levy imejumlishwa kwenye kodi kuuRailway Development Levy (RDL)
Hii muhimu uchangie tukamilishe reli yetu Dar mpaka Moro tuteleze
Nimekupata mkuu, nilichambua moja mojaRailway levy imejumlishwa kwenye kodi kuu
Tujulishe ukweli wa hizo gharama ili zitoe mwongozo mzuri Kwa wanaotarajia kuagiza gari nje.Mrejessho:
Gari imefika nmetoa lakini sio gharama zile humu JF
Watu walizisema ..daah anyway ukiomba ushauri humu sio wote wanajua [emoji28]
Sawa ngoja nikipata muda ntakuja kuwapa watu the whole experience jinsi nlioanza kuchagua gari mpaka imenifikia mkononi gharama zote
Lakini Clearing agent ambaye amenitolea gari within 24 hr toka meli imeshushwa tena kwa bei rahisi sana
Ni TRIMEX CLEARING AND FORWARDING
nlikutana nao instagram tu lakini nimewapenda
Mara ya mwisho ulishuhudia huu ukaguzi wa TBS lini?Huku kwetu mambo yanabadilika badilika , zamani tbs walitoa ruksa magari kukaguliwa nje ya nchi kwa niaba yao , siku hizi wanakagua wenyewe yakifika Tanzania .
Mara ya mwisho ulishuhudia huu ukaguzi wa TBS lini?
Ni kweli huu utaratibu ulikuwepo. TBS walikuwa wanakagua magari na yalikuwa hayatoki hadi tatizo litatuliwe.
Mwezi Jan 2023 gari ya rafiki yangu ilikaguliwa na TBS na ripoti ikaonesha matairi yameisha. Ilibidi tufunge tairi mpya ndio gari ikatoka pale Beforward.
Ila kwa sasa utaratibu umebadilishwa tena.
June 10 nilienda kuchukua gari Enhance Auto baada ya kuwa cleared. Ukaguzi uliofanyika na kupata certificate ni wa EAA kwa niaba ya TBS na ulifanyika Osaka, Japan.
Gari ya mwisho kukagua tbs ni april 2023Mara ya mwisho ulishuhudia huu ukaguzi wa TBS lini?
Ni kweli huu utaratibu ulikuwepo. TBS walikuwa wanakagua magari na yalikuwa hayatoki hadi tatizo litatuliwe.
Mwezi Jan 2023 gari ya rafiki yangu ilikaguliwa na TBS na ripoti ikaonesha matairi yameisha. Ilibidi tufunge tairi mpya ndio gari ikatoka pale Beforward.
Ila kwa sasa utaratibu umebadilishwa tena.
June 10 nilienda kuchukua gari Enhance Auto baada ya kuwa cleared. Ukaguzi uliofanyika na kupata certificate ni wa EAA kwa niaba ya TBS na ulifanyika Osaka, Japan.
Nataka niandae uzi wenye experience nzima nlivoagiza gari mwenyew mpaka kufika mkononi bila kupitia Agent
Gharama zote ntaweka hapa
Watu waacha kuogopa,tunatishana sana
Kumbe mambo ni tofauti,nmeagiza mwenyew nimesave karibu 5M kama ningeenda yard zetu pale mjini kati[emoji28]
kwa wale wazee wa clip Insta.Anyway ile biashara ya watu
Yaani kwa kufanya hivyo utakuwa umesaidia sana Mkuu.Nataka niandae uzi wenye experience nzima nlivoagiza gari mwenyew mpaka kufika mkononi bila kupitia Agent
Gharama zote ntaweka hapa
Watu waacha kuogopa,tunatishana sana
Kumbe mambo ni tofauti,nmeagiza mwenyew nimesave karibu 5M kama ningeenda yard zetu pale mjini kati[emoji28]
kwa wale wazee wa clip Insta.Anyway ile biashara ya watu