Asante sana mkuu elimu hii watu hawana
Ukicheki huu uzi mwanzo nlipewa vitisho mara niandae 1.6m wengine walisema bila 2m pembeni gari haitoki
Lakini mwisho haikufika hata laki 6[emoji23]
Wamejazana story za vijiweni[emoji28]
Tuendelee kuelimishana
Tuendelee kuagiza magari wenyewe[emoji1420]