Ezden na picha za aibu, nakupa pole

mr gentleman

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,222
Reaction score
4,689
Leo kuna picha za aibu sana zinasambaa, nimeshindwa kuziweka sababu hazina maadili ya kuwa hapa. Ila nachoweza kusema pole kwa yote yaliyokukuta Ezden.

Una cha kujifunza kwenye mlolongo wa mahusihano yako sababu yamekuwa ya matatizo na matukio. Tumia hili tukio kujifunza.

Pole sana.
 
Wanaume hawanaga hiyo ya picha za Aibu, zaidi sana aliyemuweka uchi kamuongezea jamaa umaarufu, halafu video yenyewe nimeona jamaa kajaaliwa kila idara hahaaa ndukiiiiiiiiiii
 
Wanaume hawanaga hiyo ya picha za Aibu, zaidi sana aliyemuweka uchi kamuongezea jamaa umaarufu, halafu video yenyewe nimeona jamaa kajaaliwa kila idara hahaaa ndukiiiiiiiiiii

Kwikwikwi namtaka
Hakuna kitu inaudhi km kabamia
 
Wanaume hawanaga hiyo ya picha za Aibu, zaidi sana aliyemuweka uchi kamuongezea jamaa umaarufu, halafu video yenyewe nimeona jamaa kajaaliwa kila idara hahaaa ndukiiiiiiiiiii

Jaman me cjaiona ntumie watsup 0716408283 plzzz nataka na mm nione....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…