Waufukweni JF-Expert Member Joined May 16, 2024 Posts 2,060 Reaction score 5,648 Jan 10, 2025 #1 Ezekia Wenje, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mwalimu Julius Nyerere alihudumu madarakani kwa muda mrefu zaidi kuliko Freeman Mbowe. Your browser is not able to display this video. Pia, Soma: - Lissu ataka Ukomo wa Madaraka kwenye nafasi za uongozi CHADEMA. Asema itapunguza 'Uchawa' - Wenje: Mwaka 2020 tulimpitisha Lissu kwenye Urais kwasababu anafanana na Magufuli
Ezekia Wenje, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mwalimu Julius Nyerere alihudumu madarakani kwa muda mrefu zaidi kuliko Freeman Mbowe. Your browser is not able to display this video. Pia, Soma: - Lissu ataka Ukomo wa Madaraka kwenye nafasi za uongozi CHADEMA. Asema itapunguza 'Uchawa' - Wenje: Mwaka 2020 tulimpitisha Lissu kwenye Urais kwasababu anafanana na Magufuli
kichongeochuma JF-Expert Member Joined Jan 21, 2024 Posts 1,669 Reaction score 2,864 Jan 10, 2025 #2 Waufukweni said: Ezekia Wenje, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mwalimu Julius Nyerere alihudumu madarakani kwa muda mrefu zaidi kuliko Freeman Mbowe. View attachment 3197006 Click to expand... Wenje ana upeo mdogo sana huyu mtu
Waufukweni said: Ezekia Wenje, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mwalimu Julius Nyerere alihudumu madarakani kwa muda mrefu zaidi kuliko Freeman Mbowe. View attachment 3197006 Click to expand... Wenje ana upeo mdogo sana huyu mtu
Mtili wandu JF-Expert Member Joined Dec 15, 2012 Posts 8,257 Reaction score 11,499 Jan 10, 2025 #3 Unazungumzia zama za giza na zama za nuru.
L Leonardo Harold JF-Expert Member Joined May 13, 2019 Posts 1,088 Reaction score 2,122 Jan 10, 2025 #4 wasikiliize kibao cha profesa jay-nang'atuka
G goodluck5 JF-Expert Member Joined Jan 8, 2014 Posts 7,092 Reaction score 11,613 Jan 10, 2025 #5 Hakuna cha mi5 mingine ya mwisho, hiyo 21 inamtosha kabisa mbowe akae pembeni sasa!.
Idd Ninga JF-Expert Member Joined Nov 18, 2012 Posts 5,497 Reaction score 4,775 Jan 10, 2025 #6 Huyu anaturudisha zama za kale sasa
K kina kirefu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2018 Posts 15,188 Reaction score 18,583 Jan 10, 2025 #7 msomi mzima anashindwa kutofautisha nyakati