FBY 2013
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 401
- 90
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba Mwl. Ezekiah Oluochi amedai kuwa siku 21 ni chache mno kujadili rasimu ya Kanuni za Bunge la Muungano,Hivyo wananchi wasiwe na Hofu kua Bunge Maalumu la Katiba Limetumia Siku Nyingi kwa kutunga Kanuni pekee.Ameongeza kuwa kuna baadhi ya Nchi zimetumia hadi miezi 6 Kutunga kanuni pekee lakini hakutaja kua ni Nchi gani.
Chanzo: Mahojiano kupitia StarTV Kipindi cha MEDANI ZA KISIASA MDA HUU SAA 5:00 TAR 9/3/2014.
Chanzo: Mahojiano kupitia StarTV Kipindi cha MEDANI ZA KISIASA MDA HUU SAA 5:00 TAR 9/3/2014.