Ukweli ni kwamba bwana Oluochi ameropoka hiyo kauli yake.
Kwanza sidhani kama ni sahihi kusema kila ambalo limefanywa na nchi zingine na sisi Watanzania tuige. Huo ni upuuzi.
Jambo lingine aelewe kuwa itakuwa ni aibu sana kwao kama wajumbe wa bunge maalumu la katiba kushindwa ku-meet time schedule ya kazi yao. Maana muda waliopewa ni siku si zaidi ya 70, sasa kama siku 21 zinatumika kwenye kanuni huo ni uwendawazimu.
Amesema kua Zile siku 70 zipo palepale ni tofauti na siku za kutunga kanuni.