Ezekiel Kamwaga aka Mr Liverpool..

only83

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
5,343
Reaction score
2,527
Hivi huyu jamaa mbona simuelewi kabisa kwanini anajihita Mr Liverpool na alipewa na nani kwa vigezo gani? Halafu mie naona kama ni kujidhalilisha kujiita majina yasiyo na maana isipokuwa utumwa na njaa tu......kwanini asijiite Mr Simba ili kuonyesha mapenzi yake kwa klabu yake ambayo yeye anaitumikia kama msemaji?
 
Do you know simple Epistemology? Make recourse to these terminologies essence, accidents and existence
 
Do you know simple Epistemology? Make recourse to these terminologies essence, accidents and existence
hebu ongea kiswahli bwana hayo maandishi ya kwenye biology yann hap!!
 
Huyo jamaa anatumia vibaya media hasa gazeti la Mwanaspoti kuexpress personal interests zake.Na kibaya zaidi wenye nalo wanampa uwanja.
 
Huyu jamaa nilimuona bogus kuna siku alikuwa anamponda Raul Meireles na kumsifia Henderson
 
Kamwaga ni mzuri sana ktk uandishi wa makala. Nilipenda sana makala zake kabla ya kumaliza mkataba na MwanaHALISI. Namshauri aendeleze kipaji chake ktk uandishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…