Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah alishafariki kitamboMwenye kujua huyu mtangazaji alipo sasa hivi naomba anifahamishe!
Kwani namkumbuka sana hasa kipindi cha kombe la dunia 2002 kule korea na japan!
Mbona ni kama alishatwaliwa na bwanaMwenye kujua huyu mtangazaji alipo sasa hivi naomba anifahamishe!
Kwani namkumbuka sana hasa kipindi cha kombe la dunia 2002 kule korea na japan!
Nakumbuka World Cup ya 2006 alikuwa anatangaza moira. Ilikuwa ni Denmark na timu gani sijui kuna mchezaji wa Denmark alikuwa anaitwa Sting Tof Ting. Jamaa alivyokuwa anampamba ilikuwa inafurahisha sana.Namkumbuka huyu jamaa kati ya watangazaji wa mpira mahiri sana enzi za RTD ila alikuwa kamba sana.
Anaweza kutangaza goli mchezaji ndio kwanza yupo kati ya uwanja
Huyo mchezaji alikuwa bonge kama mcheza mielekaNakumbuka World Cup ya 2006 alikuwa anatangaza moira. Ilikuwa ni Denmark na timu gani sijui kuna mchezaji wa Denmark alikuwa anaitwa Sting Tof Ting. Jamaa alivyokuwa anampamba ilikuwa inafurahisha sana.
NdioHuyo mchezaji alikuwa bonge kama mcheza mieleka
Stig Tofting 2006 alishastaafu team ya taifa.Nakumbuka World Cup ya 2006 alikuwa anatangaza moira. Ilikuwa ni Denmark na timu gani sijui kuna mchezaji wa Denmark alikuwa anaitwa Sting Tof Ting. Jamaa alivyokuwa anampamba ilikuwa inafurahisha sana.
Ni World Cup ya 2002 ya South Korea na JapanStig Tofting 2006 alishastaafu team ya taifa.