Ezekiel Wenje tunakuhitaji jimbo la Rorya jimbo liko wazi 2025

Ezekiel Wenje tunakuhitaji jimbo la Rorya jimbo liko wazi 2025

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Mhe. Wenje sisi wananchi wa Rorya tunakuhitaji sana Jimboni Rorya na Jimbo litakuwa wazi Oktoba, 2025.

Mhe. Mbunge ameshindwa kutuletea maendeleo na mfano hai barabara ya kutoka Mika mpaka Ruari Port kwa kiwango cha lami ameshindwa kushawishi Serikali kuitengea bajeti ili kuikamilisha.

Pili, kila kukicha kuna migogoro katika Chama chetu CCM katika Wilaya yetu ya Rorya na hivyo hakuna maendeleo yanayofanyika. Karibu sana Mhe. Wenje. Jimbo liko wazi 2025.
 
Namfatiria mbunge wenu hapa star tv Jafar chege muda huu ndugu zangu wa Rorya mna Kila sababu kumleta wenje hakuna mbunge huko ni mweupe pe!

Muda mwingi anasema wananchi wake masikini wa Mungu Yani Mungu ndiye alikuwa mbunge tangu Uhuru huko Rorya!!? Umasikini wa watu wa Rorya imetengenezwa na CCM yaani kati ya kataa 26 vituo vya afya ni kataa 4 tu
 
Mhe. Wenje sisi wananchi wa Rorya tunakuhitaji sana Jimboni Rorya na Jimbo litakuwa wazi Oktoba, 2025.

Mhe. Mbunge ameshindwa kutuletea maendeleo na mfano hai barabara ya kutoka Mika mpaka Ruari Port kwa kiwango cha lami ameshindwa kushawishi Serikali kuitengea bajeti ili kuikamilisha.

Pili, kila kukicha kuna migogoro katika Chama chetu CCM katika Wilaya yetu ya Rorya na hivyo hakuna maendeleo yanayofanyika. Karibu sana Mhe. Wenje. Jimbo liko wazi 2025.
Hata Wenje mtagombana naye tu,

Mbunge haleti maendeleo, Yeye hakusanyi Kodi,mbunge ni mfuatiliaji, ni muwakilishi wa wananchi bungeni,ni mtekeleza maono ya wananchi,anasaidiana na wananchi kujiletea maendeleo.
 
Acheni ukabila nyie wajaluo kwasabu chege siyo mjaluo mnaanza kumletea figisu
 
Hata Wenje mtagombana naye tu,

Mbunge haleti maendeleo, Yeye hakusanyi Kodi,mbunge ni mfuatiliaji, ni muwakilishi wa wananchi bungeni,ni mtekeleza maono ya wananchi,anasaidiana na wananchi kujiletea maendeleo.
👍👌🤝👏👏
 
Mhe. Wenje sisi wananchi wa Rorya tunakuhitaji sana Jimboni Rorya na Jimbo litakuwa wazi Oktoba, 2025.

Mhe. Mbunge ameshindwa kutuletea maendeleo na mfano hai barabara ya kutoka Mika mpaka Ruari Port kwa kiwango cha lami ameshindwa kushawishi Serikali kuitengea bajeti ili kuikamilisha.

Pili, kila kukicha kuna migogoro katika Chama chetu CCM katika Wilaya yetu ya Rorya na hivyo hakuna maendeleo yanayofanyika. Karibu sana Mhe. Wenje. Jimbo liko wazi 2025.
Ezekiel Wenje wacha kujifanyia PROMO!! Ni nani kakuambia kuwa hata kama Mbunge wa sasa hivi hatakiwi basi wewe ndiyo unatakiwa??

Rorya inahitaji damu mpya kabisa kwenye nafasi ya ubunge na nyinyi mliowahi kuwa wabunge HATUWATAKI kabisa.

Kwani ulipokuwa Mbunge wa kule jimbo la Mwanza ulisaidia nini wananchi??

Wana Rorya TUMKATAE huyu mlafi kwa sauti moja
 
Kutokana na mgawanyiko wa kisiasa, aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa, nadhani ni namba tatu, atakiwa na athari kubwa Rorya na Tarime Vijijini
 
Back
Top Bottom