Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawakataza wanatuona sio Marisk takers. Hao hawana pia ni wale Deci na LBL. Wabongo wanapigwa hawasikii kama pakaKinachoendelea huko . F. I. C nihatar mambo yamekua meusi tii
Mashoga zangu walitia mizigo ya 2 million Kila mmoja Kwa Sasa wnapumulia mashine
Oooh kumbeKuna kampuni ya kubeti wanaweka pesa Kila siku ukibet timu zao sijui nikuelekezeje ila wanaocheza wanasema unaweka kianzio elf 10 then wanatoa timu za kubet unabet halafu wanakuwekea hela
Tanzania hii hii ukitoa LBL Kuna F.I.C
😂😂😂 wadau wanasema KENGE mpaka atoke damu masikioni..Tanzania hii hii ukitoa LBL Kuna F.I.C
Angalia kama fursa imeanza mwezi huu au uliopita ingia chapHuwa hamjifunzi tu.
Siku zote ukiitiwa fursa wewe ndio fursa yenyewe
And, when the deal is too good think twice.
Inaonekana watarudi watu walikua na plan za Dubai December hatari sanaKinachoendelea huko . F. I. C nihatar mambo yamekua meusi tii
Mashoga zangu walitia mizigo ya 2 million Kila mmoja Kwa Sasa wnapumulia mashine