Nina 3 ya 22
math-F
Bio-D
Civi-D
Comm-C
B/Keeping-C
Geo-C
Hist-C
Kisw-C
Eng-C
Je naweza kwenda combination za biashara naombeni ushauri wenu wadau
Nina 3 ya 22
math-F
Bio-D
Civi-D
Comm-C
B/Keeping-C
Geo-C
Hist-C
Kisw-C
Eng-C
Je naweza kwenda combination za biashara naombeni ushauri wenu wadau
Nina 3 ya 22
math-F
Bio-D
Civi-D
Comm-C
B/Keeping-C
Geo-C
Hist-C
Kisw-C
Eng-C
Je naweza kwenda combination za biashara naombeni ushauri wenu wadau
BAM ngumu kuliko Basic! Sijui utaweza! Ila nchi ya kiCCM utaenda
Bro naweza Pata namba yako nahitaji ushauri toka kwako.utasoma tu mdogo wangu usihofu,mimi nilipata F math nikapigwa penalt,lakini nilichaguliwa HGE nikapata division one lakini bado nikawa na math F,Chuo nikasoma accountacy ndio ninayo ifanyia kazi mpaka sasa! nakote huko nilipopita mpaka sasa ni shule na vyuo vya umma japo mwaka jana niliudhuria usaili kwenye chuo kikuu kimoja ndio walinibabaisha kwanini F ya math alafu mhasibu senior!wakatengua offer ya ajira! but maisha yanaendelea na soon nategemee kuwa charted accountant