Nilibanwa na majukumu mkuu,si unajua tena 2010 hii ni full kutangaza nia...ila kuanzia next weekend ntarudi kwa Ari,Nguvu na Kasi zaidi...Facebook sikuoni kabisa mkuu
sema watamkumbuka sana ballack,alikuwa muhimu sana,wasipoangalia hata nafasi ya pili watakosa,nadhani msimu huu english premier ligi kombe aidha asilimia kubwa old trafford, au kiasi fulani emirates,