Watu weweeeeeeeeeeeeeee.Tatizo jana umechonga sana mtu wangu,ukajisahau kabisa kwamba na wewe leo unatakiwa kuvuka mto wenye MAMBA wakali....Lol.Na bbaado
Haya nimepata salamu zako unasemaje? Huyu Berba naye ni waste of money bora wamuuze yeye na Ronaldo aletwe Kaka.
Mbona Benitez kashazikwa afadhali ya hao waliolazwa,then usitufananishe na Arsenal kabisa hao wasindikzaji misimu 4 yote wanagombania nafasi ya 4Mkuu....
hakuna msiba usio na mwenzake, Mr Bean [Wenger] na "Sir fungus on" saa hii wanapeana vi-sms vya nafuu maana wamelazwa wote wadi ya majeruhi wa FA
poleni
Pole nashukuru na timu yetu KAGODA FC jana tulilazimisha droo maana maumivu yangekuwa mara 2Belo upo?,leo kimya sana mazee....Pole kwa kichapo
Haya MUNGU amesikia dua yako tumewapa Everton but tatizo lenu nyie mechi za fainali hamziwezi last season mlifungwa fainali 2 hata sasa mnaomba Arsenal watutoe ili muingie nao na hiyo beki yenu ilivyokuwa nyanya hilo kombe mnaweza kulikosaFrankly speaking, Man U mmesimama imara katika mechi hii. Nawaombea mfungwe ili tupate kibonde fainali hehehehe
Karibu hapahapa siku ya tukio. Teh teh teh!
Subirini Arsenal wawaharibie kwenye UEFA muone makombe yanavyoondoka kimtindo!
teh teh teh...Kimsingi Mi naamini timu iliyobora UK ni ile iliyopo kileleni mwa premiership, na tukisema ligi iishe ghafla dakika hii, kidume si kingine bali FC MANCHESTER UTD..
Habari ndio hiyo..!
teh teh teh...
Nacheka ki-Chelsea mie.
Jipe moyo mpwa!
Duh,...Makombe ya mbuzi hayana formula haya mkuu..baada ya fainali usije ukalala mapema au ukataka kufanya upgrade ya software ya JF,mkuu usiyeonekana...
Duh,
Ukiona tumefungwa nikakaa kimya namaanisha nakubali matokeo na naugulia maumivu.
Kumbe na wewe huwa unachekaga mkuu? Bwa ha ha ha..Makombe ya mbuzi hayana formula haya mkuu..baada ya fainali usije ukalala mapema au ukataka kufanya upgrade ya software ya JF,mkuu usiyeonekana... π π