mdeki
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 3,299
- 475
BAADA wadau na mashabiki mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya kushambulia msanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini Tanzania Mwana F.A katika mitandao ya Tweeter na Facebook kuhusu bifu lake na msanii mwenzake Lady Jay Dee, msanii huyo amesalim amri na kuwaomba mashabiki wake msamaha.
Mwana F.A amelazimika kuwaomba mashabiki wake msamaha kwa kitendo chake cha kuita shoo ya Lady Jay Dee kuwa ni sawa na Fundraising(mchango wa fedha za msaada) kitendo kilicho mkera Jedee nakumpachika msanii huyo jina la 'MwanaFAtuma'.
"Chukulieni poa kwani hiyo ni hali ya kawaida katika maisha ya binadamu,alisema Mwana F.A baada ya kusoma comment za wadau wa muziki katika mitandao hiyo. Source habari Mpya.com
Mwana F.A amelazimika kuwaomba mashabiki wake msamaha kwa kitendo chake cha kuita shoo ya Lady Jay Dee kuwa ni sawa na Fundraising(mchango wa fedha za msaada) kitendo kilicho mkera Jedee nakumpachika msanii huyo jina la 'MwanaFAtuma'.
"Chukulieni poa kwani hiyo ni hali ya kawaida katika maisha ya binadamu,alisema Mwana F.A baada ya kusoma comment za wadau wa muziki katika mitandao hiyo. Source habari Mpya.com