Facebook imeendelea kuwa mtandao wa kijamii unaotumika zaidi duniani

Facebook imeendelea kuwa mtandao wa kijamii unaotumika zaidi duniani

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Takwimu zilizotolewa na Digital 2022 Global Overview Report zimeonesha mtandao wa kijamii wa Facebook ndio mtandao platform inayotumiwa na wengi
1651134187318.png


Mbali na matokeo hayo mtandao wa WhatsApp umeonekana kupendelewa na wengi katika kufanya mawasiliano ukilinganisha na platforms nyingine za mawasiliano duniani
1651134297027.png
 
JF namba ngapi???

Nayway tuletee na mtandao wenye nguvu duniani
 
Back
Top Bottom