Uchaguzi 2020 Facebook 'kukabiliana na taarifa za upotoshaji' kabla ya uchaguzi wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Facebook 'kukabiliana na taarifa za upotoshaji' kabla ya uchaguzi wa Tanzania

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Facebook


Facebook imezindua programu kadhaa za kukabiliana na taarifa potofu na uingiliwaji wa uchaguzi nchini Tanzania kabla ya uchaguzi wa mkuu wa Oktoba 28 mwaka huu, limeripoti gazeti la Citizen.

Mkuu wa sera wa kampuni hiyo kubwa ya mtandao wa habari wa kijamii katika eneo la Afrika Mashariki na upembe wa Afrika, Mercy Ndegwa, ametangaza uzinduzi wa siku ya kumbukumbu ya uchaguzi katika Facebook na Instagram.

Uzinduzi huo utahusisha utoaji wa taarifa rasmi za upigaji kura na kuwaruhusu Watanzania kushirikisha uzoefu wao wa kupiga kura.

Bi Ndegwa anaripotiwa kusema kuwa Facebook itahakikisha matangazo ya kibiashara ya kampeni katika majukwaa yake yanathibitishwa kwa ajili ya uwazi.

Vikwazo vya vyombo ya habari vimeongezeka tangu Rais Magufuli anayewania muhula wa pili aingie madarakani mwaka 2015
===
Dar es Salaam. Tanzania’s General Election is a fortnight away, Facebook has announced its commitment to protect the integrity of democracy on its platforms during the Tanzanian elections.

The company has launched programmes and products to help reduce the spread of misinformation, curb election interference and to support civic engagement on its platforms.

Commenting on the company’s efforts, Mercy Ndegwa, Facebook’s head of public policy for East and Horn of Africa said they are excited with their work in Tanzania.

“As a company we have made significant investments in helping Facebook be a place where people feel safe, can access accurate information and make their voices heard. We are confident that our election integrity work in Tanzania will help reduce the spread of misinformation, curb election interference and promote civic engagement,” she said.

Civic engagement
She said that as part of FaceBook’s efforts to build informed and civically engaged communities, they will launch an Election’s Day Reminder at the top of their News Feed on Facebook and Instagram in the lead up to the elections.

“The Election's Day reminder will provide Tanzanians with official voting information and allow them to share that they voted through a post or a picture on their profiles. To help people share the voting excitement while increasing awareness of the Elections, Facebook will also launch Facebook and Instagram Election stories stickers designed by Othman Mashaushi, a young Tanzanian artist,” she said.

Misinformation
According to the official combating misinformation and false news during elections is quite key on their agenda.

“We are aware of the harmful effects of misinformation particularly around elections, that is why Facebook partnered with Pesa Check an independent fact-checking organization in Tanzania to review and rate the accuracy of content shared on Facebook and Instagram,” Ms Ndegwa said.

She added: When content is found to be false, Facebook reduces its distribution in News Feed so fewer people see it, and also show related articles from fact-checkers featuring factual information as to why a story is deemed false for more contexts, whilst notifying users if a story they share is rated as false.

In another development, Facebook has launched a media literacy campaign in Tanzania that aims to empower people to decide for themselves what to read, trust, and share .

Political advertising
According to Facebook political discussion and debate should be transparent to every voter which is why the company introduced tools that provide more information about political adverts on Facebook and Instagram.

“Earlier this year Facebook made these political ads transparency tools mandatory in Tanzania and as a result, anybody who wants to run political ads in Tanzania must now go through a verification process to prove who they are and that they live in Tanzania. “

She added: Facebook then runs additional checks to ensure compliance with its policies. Every political ad in Tanzania is also labeled with a “paid by” disclaimer, so that people can see who paid for them. All political ads that run in Tanzania are put in the FacebookAds library so that people can see what ads are running, what types of people saw them and how much was spent.

THE CITIZEN
 
Wanamlindaje?


Ina maana unataka kumaanisha kwamba wapinzani wa jiwe ni wapotoshaji?
Sio wapinzani ni wapotoshaji hapana

Ukipost kitu ili fb watambue ni sahihi au la ,nilazima wa wasiliane na mamlaka za Tz ambazo wote tunatambua zipo biased.
Kwa mantiki hii most of information through Facebook (Fb,Inster na WhatsApp ) zitakuwa zipo kiTBC TBC zaidi
 
Sio wapinzani ni wapotoshaji hapana

Ukipost kitu ili fb watambue ni sahihi au la ,nilazima wa wasiliane na mamlaka za Tz ambazo wote tunatambua zipo biased.
Kwa mantiki hii most of information through Facebook (Fb,Inster na WhatsApp ) zitakuwa zipo kiTBC TBC zaidi
Huh, [emoji19]
 
Back
Top Bottom