Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Mtandao wa Facebook unamilikiwa na kampuni ya Meta Chini ya Mkurugenzi wake Mark Zuckerberg.
Umefanya Maboresho kwa kubadili Rangi iliyokuwa ikionekana kwenye Hashtag na Mentions. Hapo awali Mtu akitumia alama ya # kama hashtag Yalikuwa yakitokea maandishi Meusi yenye mkolezo, lakini kwa sasa endapo ukiweka hashtag basi maandishi yatakuwa ya blue.
Hivyo hivyo ukimention(kumtag) Mtu/Ukurasa wowote basi jina litakuwa na maandishi ya Blue. Hapo awali ukitag Jina lilikuwa likitokea na Rangi nyeusi yanye mkolezo.
Pia Facebook hapo awali ni tovuti tu ilikuwa ikionyesha kwa Rangi ya blue kwenye post lakini kwa sasa hata Links zitaonekana kwa Rangi ya blue.
Umefanya Maboresho kwa kubadili Rangi iliyokuwa ikionekana kwenye Hashtag na Mentions. Hapo awali Mtu akitumia alama ya # kama hashtag Yalikuwa yakitokea maandishi Meusi yenye mkolezo, lakini kwa sasa endapo ukiweka hashtag basi maandishi yatakuwa ya blue.
Hivyo hivyo ukimention(kumtag) Mtu/Ukurasa wowote basi jina litakuwa na maandishi ya Blue. Hapo awali ukitag Jina lilikuwa likitokea na Rangi nyeusi yanye mkolezo.
Pia Facebook hapo awali ni tovuti tu ilikuwa ikionyesha kwa Rangi ya blue kwenye post lakini kwa sasa hata Links zitaonekana kwa Rangi ya blue.