Facebook yakabiliwa na mashtaka ya kuwanunua wapinzani wake kwa lengo la kuwaondoa sokoni

Facebook yakabiliwa na mashtaka ya kuwanunua wapinzani wake kwa lengo la kuwaondoa sokoni

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Kampuni ya #Facebook Inc inaweza kulazimishwa kuuza mali zake ikiwemo #WhatsApp na #Instagram baada ya Tume ya Biashara ya #Marekani kufungua mashtaka dhidi ya kampuni hiyo ikisema ilitumia mkakati wa "kununua au kuzika" kuwarubuni washindani wake

Facebook inakuwa kampuni ya pili kubwa kwenye uwanja wa #Teknolojia kukabiliwa na changamoto ya kisheria mwaka huu baada ya Idara ya Sheria ya Marekani kuishtaki Google Alphabet Inc mnamo Oktoba, ikiishutumu kutumia nguvu katika soko ili kujilinda na wapinzani

===============================

Facebook Inc could be forced to sell its prized assets WhatsApp and Instagram after the U.S. Federal Trade Commission and nearly every U.S. state filed lawsuits against the social media company, saying it used a "buy or bury" strategy to snap up rivals and keep smaller competitors at bay.

With the filing of the twin lawsuits on Wednesday, Facebook becomes the second big tech company to face a major legal challenge this year after the U.S. Justice Department sued Alphabet Inc's Google in October, accusing the $1 trillion company of using its market power to fend off rivals.

The lawsuits highlight the growing bipartisan consensus to hold Big Tech accountable for its business practices and mark a rare moment of agreement between the Trump administration and Democrats, some of whom have advocated breaking up both Google and Facebook.

The complaints on Wednesday accuse Facebook of buying up rivals, focusing specifically on its previous acquisitions of photo-sharing app Instagram for $1 billion in 2012 and messaging app WhatsApp for $19 billion in 2014.

Federal and state regulators said the acquisitions should be unwound - a move that is likely to set off a long legal challenge as the deals were cleared years earlier by the FTC.

"For nearly a decade, Facebook has used its dominance and monopoly power to crush smaller rivals, snuff out competition, all at the expense of everyday users," said New York Attorney General Letitia James on behalf of the coalition of 46 states, Washington, D.C. and Guam. Alabama, Georgia, South Carolina and South Dakota did not participate in the lawsuit.

James said the company acquired rivals before they could threaten the company's dominance.

Facebook's general counsel Jennifer Newstead called the lawsuits "revisionist history" and said antitrust laws do not exist to punish "successful companies." She said WhatsApp and Instagram have succeeded after Facebook invested billions of dollars in growing the apps.

"The government now wants a do-over, sending a chilling warning to American business that no sale is ever final," Newstead said.

Newstead also raised doubts about alleged harms caused by Facebook, arguing that consumers benefited from its decision to make WhatsApp free, and rivals like YouTube, Twitter and WeChat did "just fine" without access to its developer platform.

In a post on Facebook's internal discussion platform, Chief Executive Mark Zuckerberg told employees he did not anticipate "any impact on individual teams or roles" as a result of the lawsuits, which he said were "one step in a process which could take years to play out in its entirety."

Comments were turned off for Zuckerberg's post, as well as for other posts on the lawsuits shared by Newstead and Chief Privacy Officer for Product Michel Protti, according to copies viewed by Reuters. Newstead also warned employees not to post about the cases.


Facebook did not immediately respond to questions about the posts.
 
Lakini hii tabia ata marekani wanayo, baada ya tiktok kuwa mtandao pendwa walitaka kulazimisha kuununua au waufungie. Tabia ya kununua au kuwanyamazisha wapinzani/washindani ipo kila mahali.
 
Lakini hii tabia ata marekani wanayo, baada ya tiktok kuwa mtandao pendwa walitaka kulazimisha kuununua au waufungie. Tabia ya kununua au kuwanyamazisha wapinzani/washindani ipo kila mahali.
Hii ni kawaida hata Microsoft aliwahi shitakiwa ni makampuni mengi, lengo ni kulinda ubunifu na ushindani lah sivyo makampuni makubwa yataua madogo. Mfano kuna vikampuni kibao vimenunuliwa na apple halafu akishanunua anakiua maana asingekinunua kingemletea ushindani.
 
Back
Top Bottom