Victor Bravo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 265
- 241
Matumizi ya mitandao ya kijamii yamekua makubwa sana siku hizi hasa faceebook whatssap na insta.
Inatusaidia wengi sana hii mitandao hasa kibiashara, habari mbali mbali, burudani na mengine mengi
LAKINI
Facebook imeanza kuumbua watu kwanini?? Facebook inatuonesha namna gani watu hawajui kuandika na wengine wanapenda kingereza lakini sio broken inayoandikwa hiyo. Watu wengi wanashindwa kujua matumizi ya L na R wengine penye kuandika anakuja anaandika hanakuja. Wengine kwenye space anaweka nukta. Sasa wameibuka na hawa wa kwenye S anaweka X daa utakuta alivyoandika havieleweki mpangilio mmbaya yaani shida tupu.
Eti mtu anaandika
Xf- safi
Xhwr- shwari
Xx- sasa
Xhd-shida
Xhl-shule
Xhng- shinyanga
Kuna mambo mengi huku facebook, binafsi nikiona post ya aina hiyo au nachati na mtu ananiandikia hivyo huwa nakasirika kweli wakati mwingine naacha na kuchati nae kwa muda huo. Yapo mengi najua wapo wengi wanakereka lakini Yangu ni hayo.
Inatusaidia wengi sana hii mitandao hasa kibiashara, habari mbali mbali, burudani na mengine mengi
LAKINI
Facebook imeanza kuumbua watu kwanini?? Facebook inatuonesha namna gani watu hawajui kuandika na wengine wanapenda kingereza lakini sio broken inayoandikwa hiyo. Watu wengi wanashindwa kujua matumizi ya L na R wengine penye kuandika anakuja anaandika hanakuja. Wengine kwenye space anaweka nukta. Sasa wameibuka na hawa wa kwenye S anaweka X daa utakuta alivyoandika havieleweki mpangilio mmbaya yaani shida tupu.
Eti mtu anaandika
Xf- safi
Xhwr- shwari
Xx- sasa
Xhd-shida
Xhl-shule
Xhng- shinyanga
Kuna mambo mengi huku facebook, binafsi nikiona post ya aina hiyo au nachati na mtu ananiandikia hivyo huwa nakasirika kweli wakati mwingine naacha na kuchati nae kwa muda huo. Yapo mengi najua wapo wengi wanakereka lakini Yangu ni hayo.