Fact for today. Kenya is the backbone of Tanzania's economy.

Backbone has a new meaning.... Kwikwikwikwi
 
Google the benefits of globalization, enyewe unareason tu kama mtanzania
Globalization!!? Are you stupid or something!?
Unajua hata maana ya globalization. Unajua kwanini Trump anataka companies za marekani zilizowekeza china zirudi!?

Those are individual companies they do nothing with a kenya citizen.
Wao wanapata faida na kuzitumia watakavyo. They can go to tour Dubai, France etc. No direct money flow to the GOK.
 
Hivyo ni kusema ATCL ni wajinga sana .Wanalipa landing fees ,wanalipa umeme wanalipa wafanyi kazi,wanalipa maji, wanakodi maofisi,wanalipa mafuta ...hapa ni kuonyesha ni Uganda,South Africa ,India na kwingine ndio wanapata faida za ATCL .
What are you trying to say here. Haueleweki. Tumia akiyako wewe.
 
According to Tanzanians uchumi wa Kenya ulianza kuporomoka 1910 but the economy gap continues to widen. Ama ni uchumi gani unsongelea?
According to official 2019 IMF economic projections the economic or GDP gap between Kenya and Tz will have widened to $62bn from $40bn today.

Kenya GDP in 2023 - $141bn
Tzed GDP in 2023 - $78bn.
 
Hivi we unajielewa kweli wew, profit za kampuni we zinakuhusu nin, serikali haipati hata dang'a apo ni shareholders tu na serkal ya tz mana tunawapga makodi na bado unatoa ajira [emoji23][emoji23][emoji23]
Zingekua kenya bado zingelipa hizo zote, your the stupid one, the fact that youve missed the point of doing business " FOR PROFIT"

You forget most kenyan companies in tz head office sits at kenya
 
According to official 2019 IMF economic projections the economic or GDP gap between Kenya and Tz will have widened to $62bn from $40bn today.

Kenya GDP in 2023 - $141bn
Tzed GDP in 2023 - $78bn.
Ebu tuma source ya hii uloandika hapa mana huu ni uongo ulokufuru
 
hio ni networth ya mtu mmoja uku tz, while kwa kenya ni mpaka 504 companies combined:
 
Ukiwa na akili ndogo huwezi kuanzisha Uzi Kama huu.

Cheki hapa kampuni 504 mtaji USD 1.7b

Kampuni 24 mtaji USD189m

Kama unajua hesabu vizuri maana yake mna vikampuni vya pipi viingi wakati 24 of our companies Ni zaidi ya makampuni yenu 70.

Pili Tanzania is heaven ndio maana kun inflows of capital.

Pili makampuni ya ndani yanaona Kuna fursa zaidi kuwekeza hapa kuliko huko Kibera.

Jifunze kuangalia vitu kisomi na vilevile uwe unaappreciate vya wenzako
 
Hii kitu nilikuwa natafakari sana nikaona nikae kimya tu maana kwa statistics ya kawaida tu unagundua mleta uzi kakurupuka.
 
Hahahaha, wale wajaluo mnaowachinja kila uchaguzi, nyama zao mnapeleka wapi kama bado Turkana watu wanaendelea kufa kwa njaa?
 
Zingekua kenya bado zingelipa hizo zote, your the stupid one, the fact that youve missed the point of doing business " FOR PROFIT"

You forget most kenyan companies in tz head office sits at kenya
The fact that are in Tanzania, they employ Tanzanians, hence unemployment rate goes down and in Kenya, unemployment continues rising
 
Tunawazika. Next question please
Na wale wanaouliwa na magenge yanayofadhiliwa na Jubilee kwa ajili ya kushambulia maeneo mbali mbali ya Kenya kama vile "West gate, Garisa University, Desit Hotel, na kusingizia ni Alshabaab, nao nyama zao mnapeleka wapi?
 
and on related news, even the air, we, Tanzania breathe, is from Kenya....how generous of you!
 
Iko somewhere around 1800USD, by 2020 tutakuwa hio 2000USD
 
Na wale wanaouliwa na magenge yanayofadhiliwa na Jubilee kwa ajili ya kushambulia maeneo mbali mbali ya Kenya kama vile "West gate, Garisa University, Desit Hotel, na kusingizia ni Alshabaab, nao nyama zao mnapeleka wapi?
Wote tunawazika na kusahau Kisha tunarudi kufanya kazi kwa bidii na kuongeza gap kati yetu na watani wetu kutoka $10b 10years ago to $40b 2019 Yani tupo na GDP $100b wakati Tanzagiza wapo $60b(ikumbukwe Hii Ni ile mshapika takwimu so yawezekana iwe $35b) πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Next question please πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…