I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
naam, lakini walao hawana ule ubinafsi kama tulio nao sisi.Wanaacha harufu inayoitwa
Pheromone ili kujua walikotoka
Inawasaidia kurudi nyumbani na sio ramani
Masahihisho tu lakini sio ligi [emoji1]
Hawana masikio na wengine hawana macho FACTSisimizi hawana mapafu, hawana moyo pia.
SahihiNadhani ni harufu sio alama.
Uwezo wa sisimizi kunusa ni zaidi ya mbwa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sisimizi huua tembo.