Not always, sometimes can be[emoji1313][emoji1313]Fact.
Noun.
Prural: Facts
A thing that known or used to be true.
Sio maoni.
Yaani unatoa maoni yako halafu unaita facts! Au hujui maana ya facts mkuu?
Mi nawaza rayvanny awe anaimba nyimbo za slow , show zake ziwe za kimahaba Zaid ajitengenezee jina la king of romantic upande huo anaweza Sana , usku wa rayvanny safi kabisa ana nyimbo tamu Sana na pia nataman afanye korabo na msanii kama Adelle hvi au Ariana Grand, nyimbo za kubembeleza jamaa anazijua , bas Tu ndo kama hv analoose focus Sana , amepiga nyundo Kali ya ex boyfriend mara anakuja na miss buza sjui korona aah kero somtyme
Fara saana wewe. Hahahahmie binafsi tabata imenikalia kushoto kweli.
Yaani mtu akiishi tabata huwa naona ni kama anaishi M...ta...koni mwa jiji.
singeli yake hata sijawahi kuisikiaJamaa kabakia kudandia tu vitu mara singeli mara corona.. Yan haeleweki nn anafanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ngoma za slow namuelewa sana, ule Naogopa ni fayaMi nawaza rayvanny awe anaimba nyimbo za slow , show zake ziwe za kimahaba Zaid ajitengenezee jina la king of romantic upande huo anaweza Sana , usku wa rayvanny safi kabisa ana nyimbo tamu Sana na pia nataman afanye korabo na msanii kama Adelle hvi au Ariana Grand, nyimbo za kubembeleza jamaa anazijua , bas Tu ndo kama hv analoose focus Sana , amepiga nyundo Kali ya ex boyfriend mara anakuja na miss buza sjui korona aah kero somtyme
😂😂😂😂 Dah!Rayvanny anazingua anashindwa kukaa sehemu moja anachanganya mashabiki wake ..mara tetema mara vumilia
Bongo Flava imeondoka na RugeDiamond anafanya msaada na pia anafanya biashara angalia alipowatoa kina Rayvanny, harmonize alafu angalia walivyo sasa harmo alikuwa mmachinga wa kuuza vitu vidogovidogo hata baisketi alikuwa haiwezi kumiliki huyo Rayvanny alifeli four 4 Hana mbele Wala nyuma mboso ana mwaka 1 na nusu ndani ya WCB teyali amewanunulia wazazi wake nyumba kali lakini pia kawafanya wasanii wake wafanye vizuri international kuliko hata watu Kama benpol, Jux ambao wameanza game kuliko hata Rayvanny.Tukija kwa ruge niambie msanii gani amemsaidia kufika level ya international from scratch?barnaba ni msanii fundi lakini Hana maisha mazuri Wala Hana mafanikio ya mziki.
Ni wewe tu umezeeka ...Bongo Flava imeondoka na Ruge
Siku hizi hata wapogoro, wafipa na wanakua wanapiga naija Tu
Nandy ndio mazao ya mwishomwisho ya our proud bongo fleva
Ukimsikiliza harmonize siku hizi hata huelewi unasikiliza naija song recorded in a poor studio au ni mwanamuziki wa ridhaa
Nahisi wewe umri umekutupaBongo Flava imeondoka na Ruge
Siku hizi hata wapogoro, wafipa na wanakua wanapiga naija Tu
Nandy ndio mazao ya mwishomwisho ya our proud bongo fleva
Ukimsikiliza harmonize siku hizi hata huelewi unasikiliza naija song recorded in a poor studio au ni mwanamuziki wa ridhaa
Mikono ya dhahabu ya Ruge ndio iliyomjenga Mond..Rest in Power Bro"5.Diamond anammiss Harmonize, hakuna msanii kama Harmonize Wasafi, ule ndo ulikuwa usajili bora na nachelea kusema unaweza ndo ukawa usajili bora zaidi kt historia ya Wasafi, Nyimbo alizoimba Mondi na Harmo zimesafiri umbali mrefu sana kuliko collable yoyote east africa, Harmo alimbeba Mondi ndani yake, alipokuwepo Harmo hapakuwa na sababu sana Mondi awepo."
How Harmo anambebaje?Sawa na kusema Swala anambeba tembo.Alafu ubora unaupima vipi?In term of shows or awards au mauzo kwenye digital platforms au hisia?
"3.Diamond platnumz ni mjanja sana na tayari amefikia level ya kutoshuka tena labda aamue tu kuacha mziki na bado atakapoamua kurudi atatikisa tena, ni kama Mzee Yusuph kwenye taarabu, tangu aache taarabu pengo lake linaonekana na mziki wa taarabu unammiss siku atajayeamua kurud ataanzia pale alipoishia kwenda juu kamwe hawezi kuwa chini ya pale"
Diamond sio mjanja mjanja,yupo juu sababu anajituma na hana tabia zile za wabongo walio wengi kulizika na kufanya kazi kwa mazoea.Pili Diamond ana mentality kama aliyokuwa nayo Cristian Ronaldo au Lebron James,hawa jamaa ukiwatizama wewe unawaona kimafanikio wapo juu,lkn wao wanavyojiona wajiona kama maunderground ndio maana CR na LBJ ni watu wanaitumia mda wao mwingi kufanya mazoezi.
Vitu vinachomfanya Mondi kuwa juu sio ana imba sana kuliko wenzie bali kufanya kazi ,kwa bidii,kutokurizika na kila siku anajiona kama ana anza.
Mwisho hata maji yawe ya moto vipi lazima yataurudia ubaridi wake ,Mondi kushuka atashuka wakati na muda wake ukifika na si kwa ramli hizi za JF zilizoanza tokea 2013.
Mikono ya dhahabu ya Ruge ndio iliyomjenga Mond..Rest in Power Bro
1. Kuna wanaolalamika eti madogo pale WCB wanalaliwa na Mondi, naomba mjue kwamba WCB ni biashara ya Mondi so yupo pale kumake hela kupitia akina Rayvanny, Mbosso, Lavalava, Tale, Sallam, Laizer n.k, kwa maana nyingine WCB ni mali ya Mondi so ndo kitega uchumi chake kile.
2. Watu wanamsema Harmonize kwamba ameishiwa, kufikisha views 1m you tube imekuwa mbinde, ambacho hukijui ni kwamba ukiwa Wasafi automatic mashabiki wa Mondi wote ni wa kwako, so wanaokushabikia sio kweli kwamba ni mashabiki wako pekee wapo pia wa Mondi na WCB kiujumla, so unapotoka WCB sasa ndo unaanza kutengeneza mashabiki wako, na automatic mashabiki wa Mondi na WCB watakuwa against wewe, ndo kipindi ambacho anapitia Harmonize, hata hivyo bado anajitahid sana, Kumbuka Mavoko baada ya kutoka kilitokea nini? Itakuwaje siku akiaamua kutoka Lavalava nadhani itabidi akafanye kilimo tu.
3. Diamond platnumz ni mjanja sana na tayari amefikia level ya kutoshuka tena labda aamue tu kuacha mziki na bado atakapoamua kurudi atatikisa tena, ni kama Mzee Yusuph kwenye taarabu, tangu aache taarabu pengo lake linaonekana na mziki wa taarabu unammiss siku atajayeamua kurud ataanzia pale alipoishia kwenda juu kamwe hawezi kuwa chini ya pale.
4. Harmonize, Yes huyu jamaa ndo definition halisi ya kijana mpambanaji, dogo alijipanga muda mrefu sana kufanya kitu chake tangu akiwa ndani ya WCB, pale Wasafi ni kama alikuwa shuleni na ile kupata bahati ya kuwa karibu na Mondi ni kama alipata nafasi ya kuwa karibu na El chapo na huku ukiwa na ndoto ya biashara ya mihadarati, unachokifanya ni kuandaa note book kubwa na kuandika kila kitu, then baadae unajisomea na kufanya utekelezaji
5. Diamond anammiss Harmonize, hakuna msanii kama Harmonize Wasafi, ule ndo ulikuwa usajili bora na nachelea kusema unaweza ndo ukawa usajili bora zaidi kt historia ya Wasafi, Nyimbo alizoimba Mondi na Harmo zimesafiri umbali mrefu sana kuliko collable yoyote east africa, Harmo alimbeba Mondi ndani yake, alipokuwepo Harmo hapakuwa na sababu sana Mondi awepo.
6. Rayvanny, This guy is multi-talented hakuna ubishi juu ya hilo, anaimba, anatunga, anarap, ana vocal kali sana lakin kuna kitu anakosa, Focus... katika miaka hii michache ni kama tayari amemaliza kutoa kila kitu alichokuwa nacho, anaimba muziki ambao ukiusikia utakimbilia kuudownload lakin kesho jioni ndo utakuwa wa kwanza kuufuta, amelimbilia kujijenga kibiashara zaidi kabla ya kujijenga kimuziki.
Hapa ndo Mond anapowin, kabla ya kuubadilisha muziki kuwa biashara na kuleta janja janja zake alianza kwa kufanya muziki kwanza, watu wakapenda muziki wake then alipoanza kuleta ujanja ujanja tayari alikuwa na mashabiki wengi so si rahisi kumkimbia tena, unataka kujua utofauti wa muziki mzuri na muziki biashara kwa mondi simple nenda kasikilize Mbagala, Moyo wangu, Nitarejea, utanipendaga na uje usikilize Baba lao, Jeje n.k. Harmo amelielewa hilo ndo maana kwenye album yake kuna muziki mzuri kwa wingi kuliko muziki biashara, jamaa amepata kitu kwa Mondi, tena sana, Rayvanny akitoka wasafi leo baada ya miezi 6 mtamkuta Tukuyu analima mpunga
7. Lazima ujue WCB kwasasa ni bonge la Platform, mtu yoyote akiwa pale ataonekana na kusikika, unadhan Lavalava ana ukali sana kuliko Jux, Ben pol, Marioo.. lakin dogo anasikika sana eti, Ni Wasafi hiyo inawabeba
8. Mbosso, Yes huyu dogo ana kitu, hataki janja janja yeye anataka kufanya mziki, baada ya miaka mitano huyu dogo tumuangalie mwa jicho la 3 anaweza kufika mbali, japo mziki wake ni kama anatarget sana wanawake lakin ana kitu fulan kipo, na mimi nadhan bado Mbosso ana kitu zaidi tunamdai, hajatupatia bado.. ila kitendo cha kuwa Wasafi ambayo ni biashara ya Mondi anaweza akajikuta anabanwa na kutotoa baadhi ya vitu, lakin Yes mbosso tuendelee kumtazama..
Naomba niishie hapo.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hate nini WCB wakati kuna watu marafiki zangu..mimi natoa challenge..nikupe mfano Mapinduzi Balama alikuwa anacheza Alliance vizuri tu lakini alivyokuja Yanga kaitwa timu ya Taifa na kacheza CAF Champions league..maana yangu Mond katoka alikotoka lakini Clouds imembeba sana huo ndio ukweli na huyo Tale Ruge alikuwa anamlipa 1m kila mwezi afanye kazi ya kutafuta vipaji...alafu kasikilize wimbo wake wa kuchana na Romy jones ulivyokuwa mbaya..kubali Mondi hana kipaji ana juhudi..case closedDiamond alikataliwa THT iliyokuwa chini ya Ruge kwamba hajui kuimba.
Papa Misifa akamchukua akamwamini,kawekeza hela kwa zaidi ya miaka mutatu,Bob Junior akamfundisha jinsi ya kuimba leo hii ndio huyu Diamond tunayemwona.
International kasaidiwa na Sallam na AY ,huko mbele kaendelea mwenyewe.
Mondi na Marehemu walikuwa wafanyabiashara,sababu aliona potential iliyokuwa nayo Diamond iliyojengwa na Papa Misifa na Bob Junior,wakazinguana kila mtu akachukua hamsini zake.
Tusimpe sifa mtu asiye stahili,so mwisho PAPA MISIFA na BOB JUNIOR ndio walio mjenga huyu Diamond tunayemwona,kwani bila wao kumwamini baada ya kufukuzwa THT angekuwa sasa hivi anauza mitumba.I know you,you are WCB hater.