Mwanaume ni kama taa muda wowote kukiwa na giza unaiwasha na inawaka hapo hapo na ikimaliza kazi yake inazimika mara moja
Mwanamke ni kama pasi ukitaka kunyoosha nguo unaiwasha inachukua muda kushika moto na ikishakolea ukimaliza kazi yake unaizima na inachukua muda mrefu kupoteza joto
Wakubwa wenzangu hapo mtakuwa mmenielewa
aahMwanaume ni kama taa muda wowote kukiwa na giza unaiwasha na inawaka hapo hapo na ikimaliza kazi yake inazimika mara moja
Mwanamke ni kama pasi ukitaka kunyoosha nguo unaiwasha inachukua muda kushika moto na ikishakolea ukimaliza kazi yake unaizima na inachukua muda mrefu kupoteza joto
Wakubwa wenzangu hapo mtakuwa mmenielewa
Mwanaume ni kama taa muda wowote kukiwa na giza unaiwasha na inawaka hapo hapo na ikimaliza kazi yake inazimika mara moja
Mwanamke ni kama pasi ukitaka kunyoosha nguo unaiwasha inachukua muda kushika moto na ikishakolea ukimaliza kazi yake unaizima na inachukua muda mrefu kupoteza joto
Wakubwa wenzangu hapo mtakuwa mmenielewa
Mwanaume ni kama taa muda wowote kukiwa na giza unaiwasha na inawaka hapo hapo na ikimaliza kazi yake inazimika mara moja
Mwanamke ni kama pasi ukitaka kunyoosha nguo unaiwasha inachukua muda kushika moto na ikishakolea ukimaliza kazi yake unaizima na inachukua muda mrefu kupoteza joto
Wakubwa wenzangu hapo mtakuwa mmenielewa
hapo cha maana ni umeme unavyofanya kazi haraka kwenye taa na taratibu kwenye pasiInteresting!
Lakini hebu tuangalie.... PASI na TAA.... vyote vinawaka..lakini kazi zake ni tofauti... katika mfano wako, ina maana muwako wa "vifaa hivyo" ni kwa kazi tofauti? Hebu tufafanulie zaidi...ili somo lako unalotaka kutupa liwe na maana.