Je, wajua kuwa ukioga Mara mbili kwa siku,
Ukiepuka pombe
-ukiepuka sigara,
ukienda gym kwaajili ya kuweka mwili fiti,
ukilala masaa ya kutosha,
ukila matunda kila baaa ya mlo, ukiepukana Na msongo wa mawazo,
ukiacha kutumia aina yoyote ya madawa ya kulevya ikiwemo caffeine inayopatikana ktk chai Na kahawa.
Bado utaishia tu kufa huko mbeleni[emoji14] [emoji2]