Pre GE2025 Fadhili Maganya: CCM hatuna mpango wa kutoka madarakani, ushindi kwetu ni lazima

Pre GE2025 Fadhili Maganya: CCM hatuna mpango wa kutoka madarakani, ushindi kwetu ni lazima

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
242
Reaction score
1,141
"Kuna kitu naona kinapita mtandaoni ninafikiri cha katibu wa wilaya fulani, watu wanapiga kelele sana oooh ushindi ni lazima, sijui hivi sijui vile, hiyo inajulikana mbona! Ushindi wa Chama Cha Mapinduzi ni lazima, na CCM haina mpango wa kutoka madarakani kesho, kesho kutwa na miaka huko mbele. Sasa hatuwezi kuona aibu, sisi viongozi sisi wanachama kusema kwamba ushindi ni lazima, na inaendana na mipango, mikakati na mambo mengine yanayofanana na hayo, kwa hiyo hatuwezi kusita kuyasemea haya ya Chama Cha Mapinduzi kwa sababu ndiyo tunayoishi nayo"- Maganya.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Fadhili Maganya akizungumza na walimu Makada wa CCM mkoani Iringa.

20240907_085559.jpg



Kauli hii ni mwendelezo wa kauli tata zinazotolewa na viongozi wa CCM kuhusiana na michakato ya uongozi na chaguzi za Tanzania.

Soma pia kauli zingine hapa:
 
Utakuta wazazi wake na nduguze wanalalia kitanda cha kamba maji ya bwawa mifugo na binadamu humo humo.....
 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi- CCM Taifa bwana Fadhili Maganya amesema chama hicho hakina Mpango wa.kutoka madarakani iwe kesho,keshokutwa au miaka ijayo.👇👇
Screenshot_20240907-120846.jpg


My Take
Ujumbe umefika
 
Back
Top Bottom