THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Kocha badala aelewe goli alilopata limetokana na foul ya Mchongo so awahimize wachezaji na awaite awakumbushe makosa wanayofanya au afanye Substitution ya Ateba na Mpanzu maana second half walikua Liability tu..na Azam alionekana ana dominate sana...
Lenyewe baada ya goli likawa linaonyeshwa linawahimiza Mashabiki wapige kelele zaidi huku likiweka mikono Kwa masikio kuonesha halisikii kelele ziongezwe hio kazi hua ya wachezaji we Mkaburu...
For sure baada ya Lile tukio nahisi wachezaji wa Azam waliliona wakasema tulia na ukiangalia na kocha wa Azam Alisoma kitu akafanya subs nyingi za kifundi na zilizomlipa.
Soma Pia: FT | Simba SC 2-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa | 24 Februari, 2025
Azam wanafurahi Draw ila mi nasema Kwa second half walivyocheza walitakiwa wajilaumu walitakiwa washinde game walichelewa sana kumtoa NADO.
Mwambien FADLU MKABURU Tarehe 8 atapigwa Vyuma 6 hatoamini aendeleze mbwembwe zake za kijinga.
Usiku Mwema.
Lenyewe baada ya goli likawa linaonyeshwa linawahimiza Mashabiki wapige kelele zaidi huku likiweka mikono Kwa masikio kuonesha halisikii kelele ziongezwe hio kazi hua ya wachezaji we Mkaburu...
For sure baada ya Lile tukio nahisi wachezaji wa Azam waliliona wakasema tulia na ukiangalia na kocha wa Azam Alisoma kitu akafanya subs nyingi za kifundi na zilizomlipa.
Soma Pia: FT | Simba SC 2-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa | 24 Februari, 2025
Azam wanafurahi Draw ila mi nasema Kwa second half walivyocheza walitakiwa wajilaumu walitakiwa washinde game walichelewa sana kumtoa NADO.
Mwambien FADLU MKABURU Tarehe 8 atapigwa Vyuma 6 hatoamini aendeleze mbwembwe zake za kijinga.
Usiku Mwema.