Sijui kama kauli imetoka kwake but kama kweli amewapa reality mashabikiFADLU:MLIKUWA MMEZIDISHA SIFA.
.
"Sare hii ni motisha sahihi sana kwa Wachezaji wangu kuelekea Derby!tumeku tukisifiwa na mapambio mengi kwenye vyombo vya habari na huwa nasema sisi bado hatupo kwenye ubora huo,maana media kila wakiniuliza ni kusifia tu mara hamjaruhusu bao mnacheza vizuri,huo sio mpira"FADLU Kocha Simba Sc!
.
MMESIKIA WAPAKA RANGI??
#FutbalPlanetUpdateView attachment 3116001
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Amesema hayo. Amekuwa mkweli na hapa kampiga za uso Ahmed Ally na wachambuzi uchwara wa humu akina OKW BOBAN SUNZU , Kalpana na wengineo wanaosema "timu ya Simba ni harari na Fadlu ball yake😀😀😀😀"Sijui kama kauli imetoka kwake but kama kweli amewapa reality mashabiki
Hii ni ya kweli kabisa mkuuSijui kama kauli imetoka kwake but kama kweli amewapa reality mashabiki
Kalpana Hadi saizi hajaamka .....analia tu kitandani mkuu[emoji23][emoji23]Amesema hayo. Amekuwa mkweli na hapa kampiga za uso Ahmed Ally na wachambuzi uchwara wa humu akina OKW BOBAN SUNZU , Kalpana na wengineo wanaosema "timu ya Simba ni harari na Fadlu ball yake[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]"
Vilele vipo vingi.Mtuacheee jamanii...
Kileleni hatushuki ndo tunapanda hivyoo
Hicho hicho utopolokwinyostiVilele vipo vingi.
Unazungumzia kilele kipi kolotanouzdadi?
KUbanjuliwa kunaumaKalpana Hadi saizi hajaamka .....analia tu kitandani mkuu[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Labda mnapanda ngaziMtuacheee jamanii...
Kileleni hatushuki ndo tunapanda hivyoo
Ameyatimba[emoji23][emoji23]KUbanjuliwa kunauma
Yaaah mkuu [emoji23][emoji23]Ong bak kasanukia mchezo kaona bora aanze kuwaandaa mapema mbumbumbuzzz..