FAHALI YA MWANAMKE NI NINI?

Pyepyepye

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2017
Posts
1,940
Reaction score
3,834
Fahari ya kijana ni nguvu zake,
Fahari ya mwanaume ni walet,
Fahari ya wazee ni kichwa chenye mvi,
Fahari ya mwanamke ni.......
 
ninachojua mimi fahari ya mwanamke ni kitu kimoja tu anachojivunia na ndicho anachokitumia kutulaghai ili tumpe vitu vingi ili atoe hiko kimoja tu na ndicho hicho ambacho hukitumia kutolea taka mwili aina ya mkojo
 
Mbona tuna fahari ningi sana, kufikiria watu watakula nini leo, kuandaa chakula na watu wote wale washibe ni dogo hilo mkuu? Bado tunafanya kazi za ndani na watu wote wakiwa wamelala mzee anadai haki yake.
 
Mbona tuna fahari ningi sana, kufikiria watu watakula nini leo, kuandaa chakula na watu wote wale washibe ni dogo hilo mkuu? Bado tunafanya kazi za ndani na watu wote wakiwa wamelala mzee anadai haki yake.
Very good bunafsi nawakubali sana nyie watu
 
Ni nyumba na nikisema nyumba simaanishi jengo Bali nyumba imebeba vitu vingi kama familia nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…